Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Wadau habari zenu, naombeni kujua jinsi gani naweza kuangalia East Africa Television on line (kwa simu), kuna kipindi nataka kufuatilia lakini mida yake inakwenda kinyume na ratiba zangu za majukumu mengine hivyo nakuwa mbali na runinga yangu, natanguliza shukrani wadau