Ni wazi kabisa kuna vitu anafanyiwa ambavyo wewe huvifanyi! Jaribu kufanya study ndogo ni katika matukio gani anapo mtreat huyo mtu baki vizuri............... then taratiiiiiiiiiiiibu bila yeye kugundua mfanyie, then upime kama treatment itakuwa the same!Naomba kuwasilisha!