Houthi mbona kimya hawamsaidii Iran.

Houthi mbona kimya hawamsaidii Iran.

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
769
Reaction score
1,730
Wale wanamgambo wala mirungi wa Yemen tangu Iran kubondwa na Wateule na Marekani wamekuwa kimya kulikoni?

Ni zaidi ya wiki sasa hata kimondo hawajarusha kuelekea ardhi tukufu, takatifu na teule.

Wamemuachia tu mwenzao Hezbollah anayejitahidi kurusha vimondo kinyonge.

Houthi waache uwoga bana Iran baba yao kawasaidia sana.

Adiosamigo gTurn Ritz kimsboy gallow bird

adriz de mbusii
 
Mkubwa wake iran anapigwa pande zote na yuko hoi, yeye atafurukutaje?
 
Iran hajaomba msaada
Lakini Houghi huwa wanapenda kujipendekeza pendekeza bila hata kuombwa msaada. Muoga tuu anajuawa akithubutu moto wa vijana wa Mungu wa kweli ulivyo.

God bless and protect Israel.

Huniambii kitu kuhusu Mungu Yesu na Israel.

adriz de mbusii
 
Lakini Houghi huwa wanapenda kujipendekeza pendekeza bila hata kuombwa msaada. Muoga tuu anajuawa akithubutu moto wa vijana wa Mungu wa kweli ulivyo.

God bless and protect Israel.

Huniambii kitu kuhusu Mungu Yesu na Israel.

adriz de mbusii
Huyo Mungu hana wanaomwamini ndani ya Iran?
 
Back
Top Bottom