Houth wanachezea Shurubu za Simba!!

Houth wanachezea Shurubu za Simba!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,941
Reaction score
6,033
Dakika 20 zilizopita, kombora la balestiki la Houthi lilirushwa kuelekea Israeli. Picha za waogeleaji wa pwani huko Tel Aviv zikikatishwa na ving'ora. Kombora hilo lilipopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga, hakuna majeraha yaliyoripotiwa.
 

Attachments

  • VID_20250509_170742_834.mp4
    6.8 MB
Dakika 20 zilizopita, kombora la balestiki la Houthi lilirushwa kuelekea Israeli. Picha za waogeleaji wa pwani huko Tel Aviv zikikatishwa na ving'ora. Kombora hilo lilipopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga, hakuna majeraha yaliyoripotiwa.
Hiyo nchi sio yakuishi kwani Wazungu wamekosa Seem ya kuishi mbona kama wanadhalilika sana,, au nimimi tu ndio nawaza ivyo.
 
Hiyo nchi sio yakuishi kwani Wazungu wamekosa Seem ya kuishi mbona kama wanadhalilika sana,, au nimimi tu ndio nawaza ivyo.
Wewe ndiyo unawaza hivyo!!
Kuna kitu kinaitwa" Safety First" nchi nyingi hawatilii maanani hapo wanachukua tahadhali na Tahadhali ni mhimu sana katika maisha. Wewe huwezi kuona umhimu wa hilo huku hiyo ni kama jadi Safety ilishaingia kwenye damu. Watu wanatii bila Shuruti!!
 
Wan
Wewe ndiyo unawaza hivyo!!
Kuna kitu kinaitwa" Safety First" nchi nyingi hawatilii maanani hapo wanachukua tahadhali na Tahadhali ni mhimu sana katika maisha. Wewe huwezi kuona umhimu wa hilo huku hiyo ni kama jadi Safety ilishaingia kwenye damu. Watu wanatii bila Shuruti!!
Kweli wanadhalia kama sisi ikiwa maisha ndio ayo kila wkt rohoo umeishika mkononi unaikimbiza mbio kwenye Shimo!!!

maisha yao na yule mnyama Amza kasongo sio kama yanatofauti yoyote !!!

embu waone namna wanatoka mbiooo daa MYEMEN anatisha sio poaa..
 
Dakika 20 zilizopita, kombora la balestiki la Houthi lilirushwa kuelekea Israeli. Picha za waogeleaji wa pwani huko Tel Aviv zikikatishwa na ving'ora. Kombora hilo lilipopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga, hakuna majeraha yaliyoripotiwa.
Moral of this video, " Kuna tuliosoma Physics halafu kuna wale walio ielewa Physics na sayansi kwa ujumla "
 
Wan

Kweli wanadhalia kama sisi ikiwa maisha ndio ayo kila wkt rohoo umeishika mkononi unaikimbiza mbio kwenye Shimo!!!

maisha yao na yule mnyama Amza kasongo sio kama yanatofauti yoyote !!!

embu waone namna wanatoka mbiooo daa MYEMEN anatisha sio poaa..
Hebu tuweni wakweli guys, bila kua na mihemko, mahaba wala chuki; nchi ipo vitani na majirani zake karibu wote, yaani Iran, Lebanon, Yemen, Syria na bado wananchi wake wanaweza kwenda beach kufurahia maisha? Halafu ki nchi chenyewe sasa, kama mkoa wa Dar es Salaam. Hivi inawezekana wapi pengine hali kama hiyo?
 
Uko zako beach umetulia unafurahia maisha na kupoteza mawazo mara ving'ora vinalia inakata stimu sana, naona raia muda wowote akili zao zimejitune kuwa kinaweza kunuka hivyo lazima ukae chonjo.
 
Hebu tuweni wakweli guys, bila kua na mihemko, mahaba wala chuki; nchi ipo vitani na majirani zake karibu wote, yaani Iran, Lebanon, Yemen, Syria na bado wananchi wake wanaweza kwenda beach kufurahia maisha? Halafu ki nchi chenyewe sasa, kama mkoa wa Dar es Salaam. Hivi inawezekana wapi pengine hali kama hiyo?
Marekani mkuu hakipo na nguvu hizo mkuu,shida ni amerika.
 
Hebu tuweni wakweli guys, bila kua na mihemko, mahaba wala chuki; nchi ipo vitani na majirani zake karibu wote, yaani Iran, Lebanon, Yemen, Syria na bado wananchi wake wanaweza kwenda beach kufurahia maisha? Halafu ki nchi chenyewe sasa, kama mkoa wa Dar es Salaam. Hivi inawezekana wapi pengine hali kama hiyo?
Iyo nchi inapigana na vikundi houth,hamas, hezblah haipigani na nchi ata Moja mkuu
 
Uko zako beach umetulia unafurahia maisha na kupoteza mawazo mara ving'ora vinalia inakata stimu sana, naona raia muda wowote akili zao zimejitune kuwa kinaweza kunuka hivyo lazima ukae chonjo.
Uzuri israel ina kila kitu kwa ajili ya usalama ving’ora vya tahadhari mpaka dakika 20+ unakuwa na uhakika linatua wapi na watu wote wanakuwa kwenye sehemu salama. Nimekuwekea hapo chini video ya vibaka wa kipalestina baada ya kushambuliwa walivyotimka kama kondoo waliokosa Mchungaji washukuru tu israel haina mbaya kama wao walivyo wangeliisha mara moja.
 

Attachments

  • telegram_video.mp4
    17.5 MB
Iyo nchi inapigana na vikundi houth,hamas, hezblah haipigani na nchi ata Moja mkuu
Swali bado ni lile lile tu; nchi gani nyingine inaweza kupigana na vikundi vyenye uwezo wa kurusha maroketi ya masafa marefu, kudungua ndege both drones na ndege zingine za kivita, vikundi vinavyo weza kupiga hadi nyambizi za USA na kumzuia USA asipitishe meli zake, halafu vikiwa vina uwezo wa namna hiyo, mpinzani wake raia wake wanakwenda beach kustarehe na kula maisha kawaida? Nitajie nchi moja tu duniani hapa
 
Binafsi huaga napenda kushikirisha ubongo wangu kwa kila ninacho kisikia na kukiona, yawezekana kweli Marekani anawasaidia Waisrael but not to that extend bro.
1. Askari wa IDF ni Wayahudi pure, sio wa kukodi
2. Iran iliwahi kuchokozwa na USA na Iran ilijibu, hadi leo is like USA hataki ugomvi na Waajemi wale, sio Wayahudi. Wayahudi wanajipigiaga Iran wanavyo taka, wameua viongozi wa Hamas wakiwa kwenye ulinzi mkali na tena jijini Tehran, wameua rais wao, wameua wana sayansi wao tena nyumbani kwao na makao makuu ya serikali, wamepiga sehemu muhimu za ki ulinzi za Iran na Iran kaufyata, yaani Iran ni rahisi kulipiza kisasi kwa USA but not Israel. Bado utasema hawa wana tegemea msaada kwa 100%? I doubt.
3. Houthis wamempeleka mchaka mchaka USA, wamejaribu kum beep Yahudi just once; salamu walizo zipata hawana hamu nae. Bado utasema hawa wanategemea msaada pekee yake from USA? You can fool anybody any time but you cant fool yourself everytime bro. Jamaa wana kitu, hawa wana uwezo, tusidanganyane. Ukraine imesaidiwa na mataifa yote ya NATO but bado imeshindwa kukomboa hata jimbo moja, sio Yahudi
Marekani mkuu hakipo na nguvu hizo mkuu,shida ni amerika.
 
Ni mtu mjinga pekeee asiyejali Maisha hao Yemen ni Pawns wa Iran, nchi yao ni failed state no one care for them, and they don't care for themselves either...

Ukiona Taifa Watu wote wanatumia madawa ya Kulevya ujue Hilo ni Taifa lisilo na kesho.

Yemen wako radhi kulima mirungi na sio mazao ya chakula alafu wanaomba msaada wa Chakula na sawa. Ukiona hili ujue unadeal na Zombie.

Tofauti na Marekani na Watu wengine walioishambulia Yemen walikuwa wanajali hali ya Kibanadamu, Israel hatambui Hilo anapiga Bandari, Uwanja wa ndege vituo vya umeme na viwanda vya Cement
 
Back
Top Bottom