rechungura1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 387
- 130
- Thread starter
- #21
hahahaha........kwani shem anafagilia michepuko??Tatizo shemeji yako mzuri utamtamani dogo:sly:
hahahaha........kwani shem anafagilia michepuko??Tatizo shemeji yako mzuri utamtamani dogo:sly:
hahahaha........kwani shem anafagilia michepuko??
kazi ni kazi 2 tu ilimradi mkono uingie kinywaniKwani wahaya nao hufanyaga kazi za ndani??????
sina historia ya kupiga/kupigana na mtu...............kila raheli ila usije piga watoto wa watu..
Na ukiajiri housegirl uwahasi watoto wako wa kiume otherwise huna watoto wa kiume waliobalehe.Mhuuuu ukiajir house boy lbda umuhas other wise uwe huna watoto wa kike waliobalehe