House girl wangu

House girl wangu

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Waquuuu huyu house gal wangu anadai nyongeza ya mshahara kwa kazi aifnyayo....ukweli nataman kumuachisha kazi ...imekua kero kila siku mshahara upende...wakati mwenyewe kibaruani hakueleweki...mwenye shida ya mfnya kzi ani cheki
 

Attachments

  • 1406455805500.jpg
    1406455805500.jpg
    23.9 KB · Views: 2,381
hyo picha yenyewe inaonyesha ni jinc gani usipompandishia mshahara ndoa yako itakapokuwa matatani bibie.
chagua moja kupandisha mshahara au kuchukuliwa mume! haa haaa unalo mwaka huu
 
Waquuuu huyu house gal wangu anadai nyongeza ya mshahara kwa kazi aifnyayo....ukweli nataman kumuachisha kazi ...imekua kero kila siku mshahara upende...wakati mwenyewe kibaruani hakueleweki...mwenye shida ya mfnya kzi ani cheki

Wewe kilaza hii picha ya Dada yako unakuja kumwanika
 
Waquuuu huyu house gal wangu anadai nyongeza ya mshahara kwa kazi aifnyayo....ukweli nataman kumuachisha kazi ...imekua kero kila siku mshahara upende...wakati mwenyewe kibaruani hakueleweki...mwenye shida ya mfnya kzi ani cheki

Kama ndo huyo housegirl wako, mtendee haki tu mpandishie mshahara. Mweee
 
Mkuu mimi na mwihitaji,kama mchahara namwongeza, pia atafanya kazi moko tuu kwa cku.
 
Back
Top Bottom