Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Ninahitaji kumuajiri House Girl wa umri wa kati ya miaka 15 hadi 25, ambaye hana mume wala mtoto, na pia asiwe na mashetani/majini. Kituo cha kazi ni Dar es Salaam, na malipo tutakubaliana na muhusika au mlezi wake. Mbali na mshahara, akifuzu probation period (miezi sita) atapewa simu na pia ataunganishwa katika bima ya afya ya NHIF. Anayemfahamu mwenye simu atumie PM kuwasiliana nami.