Hotuba za Mwal Nyerere na Magufuli zitabaki kama reference kucharange viongozi 2025

Kwa iyo kipindi chake Mtwara ilijitenga Na Rukwa? Ficha kamasi zako zilizo jaza kichwa chako
Wewe Buhare kichwa chako kina funza. Unaweza tu kutukana ila hoja huna. JokaKuu ameongea namna DIKTETA Magufuli alivyokuwa divisive force kwa Watanzania. Unachokataa ni nini sasa. Hujui kuwa kwa kauli yake alitamka kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani
 
Punguani peke yake ndiye anaweza kusikiliza hotuba za Magufuli.
Your browser is not able to display this video.
 
Kumbe wenye maono bado mpo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…