Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,933
Naanza kujiuliza ilikuwaje Hotuba za Nyerere na Magufuli zinasikiluzwa sana? Sijawahi ona mtu anachukua hotuba ya Mwinyi nakuisemea jambo? Hotuba za Mkapa nazo sioni wakiangaikanazo pia za JK!
Kwanini Mwalimu Nyerere hotuba zake zi hai mpaka leo?
Vision ya Mwalimu Nyerere kwa Tanzania ikishabiihana sana na Vision ya Magufuli, Usishangae kwanini azimio la Arusha liliondoolewa kwa ujanja wa Azimio la Zanzibar.
Naiona 2025 lakini si sana ila 2030 nahisi kabisa wanachi watakuwa wanajifariji na hotuba za Mwal Nyerere na Magufuli. Mwal Nyerere aliwahi kuwaambia CCM 1995 wateua mgombea ambae wote watakuwa na uwezo wa kumtetea, na ata kama ukiulizwa je huyu atafaaa kupiga vita rushwa? Jibu lako liwe ndiyo na si ndiyo ya mdomoni tu lakini mpaka kwenye nafsi yalo iwe hivo.
Kazi kwenu CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Mwalimu Nyerere hotuba zake zi hai mpaka leo?
Vision ya Mwalimu Nyerere kwa Tanzania ikishabiihana sana na Vision ya Magufuli, Usishangae kwanini azimio la Arusha liliondoolewa kwa ujanja wa Azimio la Zanzibar.
Naiona 2025 lakini si sana ila 2030 nahisi kabisa wanachi watakuwa wanajifariji na hotuba za Mwal Nyerere na Magufuli. Mwal Nyerere aliwahi kuwaambia CCM 1995 wateua mgombea ambae wote watakuwa na uwezo wa kumtetea, na ata kama ukiulizwa je huyu atafaaa kupiga vita rushwa? Jibu lako liwe ndiyo na si ndiyo ya mdomoni tu lakini mpaka kwenye nafsi yalo iwe hivo.
Kazi kwenu CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app