Wakuu
jana nilifuatilia hotuba zilizokuwa zinaitwa hotuba za Taifa zote mbili, lakini ukweli ni kwamba hotuba ya taifa ilikuwa ni moja tu kutoka kwa rais wa Samia Suluhu
napenda kuwakumbusha wanachadema kuwa bado safari ndefu sana mnayo kufikia level ya kutoa hotuba kwa taifa
hotuba ya taifa haiwezi jazwa maneno ya vijiweni kama
*mchongo
*uchafuzi mkuu
*Mamluki ya ccm
na maneno mengine mengi ya kukera
Je ile hotuba imemlenga mwananchi au viongozi wa ccm na serkali?
jana nilifuatilia hotuba zilizokuwa zinaitwa hotuba za Taifa zote mbili, lakini ukweli ni kwamba hotuba ya taifa ilikuwa ni moja tu kutoka kwa rais wa Samia Suluhu
napenda kuwakumbusha wanachadema kuwa bado safari ndefu sana mnayo kufikia level ya kutoa hotuba kwa taifa
hotuba ya taifa haiwezi jazwa maneno ya vijiweni kama
*mchongo
*uchafuzi mkuu
*Mamluki ya ccm
na maneno mengine mengi ya kukera
Je ile hotuba imemlenga mwananchi au viongozi wa ccm na serkali?