Sasa kama kachukua hii inchi kilo ya mchele ikiwa 500 hivi sasa ni 2500, sukari kilo 1 ilikuwa inauzwa 300 hivi sasa ni 2600, kilo ya maharage ilikuwa inauzwa 250 hivi sasa ni 2500. Mapinduzi ya kilimo anayo yaongelea ni yapi kama sio siasa zisizo na mashiko? The end is near CCM will be going to hell.