Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 452
Wanajf leo ni mwisho wa mwezi, kama ilivyo desturi raisi huwa anahutubia wananchi wake kupitia media mbalimbali, swali la kujiuliza hapa hutuba hyo itakuwa na ujumbe gani wa msingi kwetu sisi watanzania, au itatawaliwa na kejeri na ahadi kibao kama ilivyozoeleka.
Kuna mambo mengi yamejitokeza nchini tangu mwaka huu uanze yakijadiriwa na sisi wananchi ama kupitia vyombo vya habari.
Mfano:
1. Mgawanyo wa raslimali ya taifa (gesi ya mtwara).
2. Mvutano wa udini unaoendelea (ukristo vs uislamu).
3. Mwende
Kuna mambo mengi yamejitokeza nchini tangu mwaka huu uanze yakijadiriwa na sisi wananchi ama kupitia vyombo vya habari.
Mfano:
1. Mgawanyo wa raslimali ya taifa (gesi ya mtwara).
2. Mvutano wa udini unaoendelea (ukristo vs uislamu).
3. Mwende