Hotuba ya Rais JK Mwisho wa Mwezi 31/12/2010

Status
Not open for further replies.
hee utaskia tu aanteni wana ccm kwa kukipa chama ushindi wa kishindo bila kumsahau mama salma na rizi 1, pili, hongereni wanawake kwa kutoa spika wa kwanza mwanamke tanznia hii inaonyesha mkiwezeshwa mnaweza. tatu, nimeongea na obama kasema najenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia mgao mwisho mwakani. nne nimeongea na bla bla kasema atajenga flyovers mwisho wa foleni dar uoooooo
 
Tunasubiri kwa hamu hotuba ya Rais wetu Dr. Slaa juu ya:
1. Malipo fake kwa Downs:
-Uhalali kisheria wa mkataba wa Domns na Tanesco?
-Mmilikihali wa Dowans ni nani?
-Atalipwa nani?
2.New Katiba

Tunanjaa sana ya kusikia hayo, vinginevyo mwanzo wa vita na machafuko TZ unakaribia.
 
Shujaa wa Kuleta umeme wa uhakika au kila ofisi itaendelea kuwa TANESCO!!??
 
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-

  1. Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
  2. Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
  3. Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
  4. Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
  5. Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
  6. Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania
Nasubiri kwa hamu nisikie hotuba yake kama itakuwepo mwishoni mwa mwezi huuu!


Ningependa atuondoe wasiwasi wananchi juu ya afya yake kwa kipindi hiki cha urais wake!!
 
Tunasubiri kwa hamu hotuba ya Rais Jakaya KIKWETE juu ya:
1. Malipo fake kwa Downs:
-Uhalali kisheria wa mkataba wa Domns na Tanesco?
-Mmilikihali wa Dowans ni nani?
-Atalipwa nani?
2.New Katiba

Tunanjaa sana ya kusikia hayo, vinginevyo mwanzo wa vita na machafuko TZ unakaribia.
 
Mambo ya afya ya mtu siyo isssue. Tuonglee facts in issue ambazo ni kwa masilahi ya Taifa letu(for the Public Interest).
 
Wewe mtoa mada usitufanye sisi wajinga. Hicho cha maana atakachotuambia huyo mkuu wako wa nchi ni nini?? Wizara ya fedha hakuna fedha, mafisadi wanaendelea kutesa,maji shida nchi nzima, umeme wa mgao nchi nzima, Kipindupindu kwa kwenda mbele atatuambia nini huyu mtu wako. Katiba katiba atuambie nini kama sio sisi ndio tumwambie katiba tunaibadilisha atake asitake. Ushauri kwako na kwake 'Mwambie akae tu mjengoni akitafakari miaka mitano si mingi ataona haya sana kwa watanzania historia itamhukumu yeye na wafuasi wake. Asubiri wikileaks amesema there is more to come'
 
jk wangu hana noma,hana udini pombe na k/moto anakamua kamakawa.by the way naskia kuna bibi mmoja anatembea kwa miguu kutoka Kigoma kuja kumpongeza jk kwa ushindi mwembamba anakaribia kufika.so no hotuba coz jk ataenda kumlaki!
 
Mkwere amekuwa bonge la Ze-Comedy!!
Utasikia ataanza na ujenzi metro train hapo Dar na zile meli kule Mwanza, Lake Nyasa na Tanganyika, na Kigoma kuwa Dubai ya Africa!
 
Kesho ni kesho(31.12.2010) msema kweli ni mwongo Jk kutoa HOTUBa ya funga mwaka
hutoba inaweza kuokoa na kurudisha imani za watanzania.

1. Jk atakuja na majibu ya dowanss kuwa serikali haitalipa hiyo hela
2. kuanzisha mchakato a katiba mpya tume kuchagulia
3.
4.
5.


wanaJF ongezea kesho(31.12.2010) JK kuibuka shujaa na mwokozi:target::target:

kama kuna kitu cha maana ataongea mi ntakufa kesho
 
Poleni sana wadaganyikwa msitegemee hakuna chochote kile JK atakhoongelea ambacho wengi wetu tunasubiri.

Kisha pata u rais kwa hiyo uhakika wa kutawa;a miaka mitano bila wasiwasi woowote ukizingatia bunge letu halina meno ya ku impeach hata akiboronga. lakini Jk kama ni kweli ana uzalendo basi itakuwa vinginevyo
 
Kesho ni kesho(31.12.2010) msema kweli ni mwongo Jk kutoa HOTUBa ya funga mwaka
hutoba inaweza kuokoa na kurudisha imani za watanzania.

1. Jk atakuja na majibu ya dowanss kuwa serikali haitalipa hiyo hela
2. kuanzisha mchakato a katiba mpya tume kuchagulia
3.
4.
5.


wanaJF ongezea kesho(31.12.2010) JK kuibuka shujaa na mwokozi:target::target:

Hivi ukikutana uso kwa uso na Mwizi unafikiri atasema nini? Wakati anajua unajua kwamba yeye ni Mwizi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom