Hotuba ya Lowassa yavuja

Alikuwa wap zaman harafu nilizan atarudisha fesa yetu ya richmond aliyosepa nayo

Hilo ungemuuliza mkwere ambae ni ring leader ningekusifu sana, keshasema mpelekeni mahakamani mbona hamutaki, mpekeleni tu mahakamani manake hamna namna msimung'unye maneno
 

ndivyo mlivyopangana kulipwa fadhila baada ya kutukana na kurubuni vijana wa bodaboda!
kama kuna mtu anaidai serikali aende mahakamani!
Nchi haiitaji kuwa wananchi wanaoamini katika kupanda fedha! mtu mwenye akili timamu hawezi kupanda pesa, na ktk principles za maisha huwa kuna survival of the fittest! acha wanyonge wenye akili mbovu hivyo waadhibiwe ili tusiwe na raia mburula namna hiyo!
 
Mkemia amwige mwigizaji? Ninachojua mwigizaji atajaribu wanachofanya wakemia.
 


Mbona hayo ni mambo ya kawaida? Mabadiliko yako wapi hapo? Angetuambia atakusanya kodi kikamilifu kutoka kwa mafisadi wenzake labda angeeleweka.
 
Lowassa anakumbuka deni aliloitia Taifa baada ya kubomoa Maghorofa ya Oyster-bay?

Mkumbusheni asisahau kuyaongelea hayo.
 

Jk alitoa ahadi nyingi sana ila wakaambulia patupu.

Sasa huyu mwenzetu anataka kutupeleka kulekule.
 
Kasikilize mahojiano yake na BBC then utabadilisha hio kauli yako ya Lowassa kuwa genius, Lowassa na Magufuli wote ni empty set tuuh

Kwasababu huelewi Lowasa alikuwa anamaanisha nini kwenye mahojiano yake.
 
Sidhani kama ataweza kuisoma kwa urefu huu labda atuwekee kwenye website ya chama tuipitie kabisa

Hiyo atakuwa ameisoma siku tano kwa vipande vipande vya dakika tano tano na kisha itaunganishwa
 
Lowassa anakumbuka deni aliloitia Taifa baada ya kubomoa Maghorofa ya Oyster-bay?

Mkumbusheni asisahau kuyaongelea hayo.

Naona atalilipa! Hivi yale maghorofa yalibomolewa kwa sababu gani? Eti ilikuwa yatoe nafsi ya upepo kupita kwenda kwa mzee?
 
Kama DeCi was an illegal thing.... Utawalipaje watu pesa out of something which was illegal...

Ni sawa mtu ufungue kesi mahakamani ya kudai pesa ulizodhulumiwa kwenye biashara ya madawa ya kulevya

Hapo ndio ulaghai wa wanasiasa wetu ulipo, serikali inahusika vp na DECI? Serikali ilitoa tahadhari watu wasiweke pesa, mpaka wanaifunga ilikuwa kiasi cha b1 tu, wakati ilikuwa imeshawachangisha zaidi ya b30 analipa kwa pesa ya nani?
 
Wengine waathirika wa DECI...tuliwakataza wasicheze wakakomaa hakuna msaada hii taarifa siyo ya kweli na haisaidii kwavile Magufuli anachukua nchi
 
Lowasa mabadiliko,mabadiliko lowasa
 

Kuna bajeti nyingine tofauti na ile iliyotangazwa juzi! Au hela za viwanda anatoa mfukoni mwake
 
magufuli atakanusha kuhusu desi,atakuja kusema eti ni ya zamani.... teh teh
 

Chadema walitaka vyeo vya DC na RC VIFUTWE SASA MGOMBEA ANAAHIDI TOFAUTI....UONGO JUU YA UONGO
 

Unamwandikia
Hayo uliyoandika atakumbuka?

kama hataanza kuelezea mambo mengine na kuishia kusema CCM hoyee.
Hivi atahutubia Live AU MMEMREKODI MTARUSHA KIPORO?
 
hachelewi kusahau kila kitu kisha akamuita mbowe mheshimiwa rais wa wachaga mtukufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…