Mipango ya kuuliwa Watanzania wafuasi wa Chadema ilikuwa nimipango malumu ya Serekali ya Kikwete kupitia ilani ya chama chake wasema Chadema.
Viongozi wa ngazi za juu za chadema wamenukuliwa wakisema mipango ya mauwaji ilikuwa tayari imepangwa kuuwa nguvu ya upinzani Chadema na wanashuku hutuba ya Rais Jakaya Kikwete aliposema hadharani ktk kuwaga mwaka wa 2010 kuwa kuna vyama vinataka kutumia maandamano na migoma isiokwicha ili Tanzania ionekane nchi katili lakini hatuto fumbia macho na kuruhusu hivyo.