Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
mkuu ukitaka kumkosoa mtu inabidi umQuote ili ubaki ushaidi. Mfano,apo jamaa kashakosoa ila sasa wewe ndo unaonekana umekosea. Kwa upande mwingine nashukuru wazo lake ila chama chenye magamba hawana hotuba ya kila mwezi,huwa wanakuwa nayo wanapojisikia,si unajua nchi yao hii. Kwa iyo cdm wakija na ujumbe wa kila mwezi watafanikiwa sana,tatizo ni media ipi itakubali itumike? Hapa mtihani utakuwa na majibu ambayo pia ni mtihani.
Tupo pamoja! binafsi huwa sioni zuri la kuiga kutoka kwenye chama cha magamba....wananchi wanataka action na majibu kwenye kero zao! Fikiria mzee wa Msoga kule Bagamoyo ameishatoa hotuba ngapi na kipi kimefanyika? CDM wasiinge kila kitu kwa wenye Magamba