Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Yaan Matukio ya Utekaji na Mauaji yametokea mengi kabla ya Oktoba 29.
Ujifanye kuja kutoa pole za walouliwa Oktoba 29?.
Mh Polepole umemteka .
Mzee Kibao alouliwa, ukajifanya Tume ya Uchunguzi... Unadhan unaongea na watoto wako???.
Siku Zenu zimekwisha kufika, Huu Moto hauzimiki mpaka pale HAKI ITAKAPOWAWAJIBISHA.
Ujifanye kuja kutoa pole za walouliwa Oktoba 29?.
Mh Polepole umemteka .
Mzee Kibao alouliwa, ukajifanya Tume ya Uchunguzi... Unadhan unaongea na watoto wako???.
Siku Zenu zimekwisha kufika, Huu Moto hauzimiki mpaka pale HAKI ITAKAPOWAWAJIBISHA.