Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone haikubali? Yeyote mwenye experience na hii kitu
Mkuu hilo tatizo litakuwa kwenye PC yako kwa maana uenda huja switch on wifi katika PC yako jaribu kuangalia kwa makini hufanyr hivo ila bila kusahau issue ya Hotspot inategemea uwezo wa sim yenyewe hivo akikisha unaifungua kwenye sim yako kama unatumia password itambue password yako then nenda kwenye pc yako washa wifi button connect ingiza password uendelee kuangalia porn video
Mie Nina Iphone 5S pia haionekani ile software ya hotspot ambayo Hua inakaa chini ya data , ila nikiweka line nyingine Kama tigo inakuepo! Naomba watu wa Halotel waliangalie hili vzr maana Hua tunatumia hizi sm Kama modem.
Hawa halotel bhana wezi dizaini flani. Nikunga bandle la tigo au voda natumia vizuri hata week kwa GB1. Ila halotel ni siku tatu au nne kwenye simu inaisha.
Najiuliza ni matumizi gani yanayokuwa tofauti tu nikiwa na haloteli? Au hii ni Dar tu?
Mie Nina Iphone 5S pia haionekani ile software ya hotspot ambayo Hua inakaa chini ya data , ila nikiweka line nyingine Kama tigo inakuepo! Naomba watu wa Halotel waliangalie hili vzr maana Hua tunatumia hizi sm Kama modem.
Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone haikubali? Yeyote mwenye experience na hii kitu
Tatizo hapo ni settings katika simu na wala msiwalaumu halotel. Kama mnatumia iOs 9.3.2
1-Fungua Setting
2-Cellular
3- Cellular Data Options
3- Cellular Data Network
Pale kwenye Personal Hotspot jaza APN kuwa 'b_internet' kisha rudi mpaka menu kuu utaiona option ya Personal Hotspot.
That's all
Sikia fanya hivi connect kompyuta yako na internet hapa sasa utatumia hata sim ya rafiki.
Fungua itune alafu connect iPhone yako ikiwa na line ya halotel ndani.
Utaletewa popup ndani ya itune inakuambua setting update kama sikosei update ni kafail kadogo sana from there yua done.