Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 459
- 976
Halafu hua anajiita Dr.Kuna mama mmoja alikua Naibu Waziri huko CCM alikua anaiba hadi taulo za hotelini. CCM imelewa wizi umekita mizizi.
Ndo maana nawewe unazitamani ndala za watu.
Halafu hua anajiita Dr.Kuna mama mmoja alikua Naibu Waziri huko CCM alikua anaiba hadi taulo za hotelini. CCM imelewa wizi umekita mizizi.
Ndo maana nawewe unazitamani ndala za watu.
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Hivi vyote ni mali ya mteja,Lakini kwani uongo? kuna wenzetu huwa wanaondoka na sabuni, shower gel, tooth paste n.k wabongo usiwaamini sana.
ungekuwafa mameneja na kuwaambiaMwajuma huoni kuna mkato kwenye hizo tarakimu? Unajua maana yake huo mkato? Unadhani ni sahihi kutaja majina ya hizo Hotels kwa mujibu wa kanuni za JF?
Wale jamaa ndo hovyo sana. Hata suala la usafi kwao ni gumu na Hotels zao ni ghali sana.Zanzibar kuna hotels hawaweki ndala wala mswaki 🤔🤔
Nilichokaje?
Hotel ya shilingi 150,000/- kwa usiku mmoja.
Hakuna kandambili wala mswaki na dawa ya meno.
Na wako na amani wala hawajistukii hata kidogo,
Sijui jamaa wako na matatizo gani aisee.
Watakuja washamba watakuambia hiyo ni ya 15,000 umeongeza sifuri moja. Ni sababu hawajawa na exposures ya haya mambo.Zanzibar kuna hotels hawaweki ndala wala mswaki 🤔🤔
Nilichokaje?
Hotel ya shilingi 150,000/- kwa usiku mmoja.
Hakuna kandambili wala mswaki na dawa ya meno.
Na wako na amani wala hawajistukii hata kidogo,
Sijui jamaa wako na matatizo gani aisee.
Sure, nililipa 35k tu..ila niliyekua nae aliondoka na miswaki miwili na baadhi ya vitu..Unaweza kuwa umelipa 120,000 KWA usiku ila uliyeenda naye anaweza kuwa ana njaa ya ndala za 3,000.
Nilishangaa sana hotel ya laki na nusu nimeenda hakuna dawa ya mswaki, mswaki wala ndala, nilipopiga simu wakasema wao hawatoi hivyo vitu, na ni hotel kubwa tu pale mjini ungujaZanzibar kuna hotels hawaweki ndala wala mswaki
Nilichokaje?
Hotel ya shilingi 150,000/- kwa usiku mmoja.
Hakuna kandambili wala mswaki na dawa ya meno.
Na wako na amani wala hawajistukii hata kidogo,
Sijui jamaa wako na matatizo gani aisee.