Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.