Ingia kati hapo kuna Bar ina malaya...Wasalaam wanabodi. Natarajia kuwepo Arusha kikazi kwa wiki moja, Naomba kusaidiwa kujua ni Hoteli gani nzuri ambayo ipo eneo tulivu, ina parking na ambayo haipo mbali sana na City centre. Bajeti yangu ni 50,000-60,000. Natanguliza shukrani!
Nenda Pale Machame hotel ni pazuri halafu pasafi sana parking ipo bei ni hiyo uliyoitaja halafu ni mjini kabisa.Halafu mitaa hiyo Kuna gest kibao.Wasalaam wanabodi. Natarajia kuwepo Arusha kikazi kwa wiki moja, Naomba kusaidiwa kujua ni Hoteli gani nzuri ambayo ipo eneo tulivu, ina parking na ambayo haipo mbali sana na City centre. Bajeti yangu ni 50,000-60,000. Natanguliza shukrani!
Bwana mitaa hata sijuwi mitaa inaitwaje sema Kuna kuwa na stend ya Yale ma Land cruiser yanayoenda porini Kwa wamasai ndo ilipo hiyo Machame hotel.Iko maeneo gani kiongozi