....Hapo kwenye security iko bomba nashauri apate uzoefu kwa mhe Malima...Vigezo vyako nenda nashela Hotel itakufaa sana Security iko bomba mandhari na swimming pool
Kwani hapo Nashela si ndipo alipoibiwa mheshimiwa sana Adam Malima?Vigezo vyako nenda nashela Hotel itakufaa sana Security iko bomba mandhari na swimming pool
...Ningeshangaa sana hiyo price maana huduma ya mikutano package ni elfu 30. Generally huduma mbovu, hoteli imechoka...Siyo kweli mpaka chumba cha 75,000 kinapatikana.
Kahumba kuna mama yeyoo yeye analazimisha game wakti umri umeshampita[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Habari...
Niende moja kwa moja kwenye hoja husika..
Naomba kufamishwa hotel nzuri Morogoro, ni mara yangu ya pili, mara ya kwanza nililala Flomi hotel na nilipapenda sema mi napenda swimming na utulivu fulani, ila kwa pale flomi room nzuri sema hakuna ivyo vigezo vyangu, ila kila kitu kilikua poa sana kuanzia rooms na mazingira ya ndani kwa ujumla.
Naomba kujuzwa hotel zenye vigezo ivyo ninavyoitaji na bei isizidi laki 1 kwa siku.
Kama huna ushauri, bora upite kimya kimya kuliko kuweka utani au matusi.
Naomba kuwasilisha
Alaf kakeketwa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kahumba kuna mama yeyoo yeye analazimisha game wakti umri umeshampita
Kuna mtu aliibiwaga binduki ya SMG hapo[emoji53] [emoji53] [emoji53]Vigezo vyako nenda nashela Hotel itakufaa sana Security iko bomba mandhari na swimming pool
Kweli mkuu...Ningeshangaa sana hiyo price maana huduma ya mikutano package ni elfu 30. Generally huduma mbovu, hoteli imechoka...
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Heh heh ulipata ujasiri wa ''kumjua'' yataka moyo mkuuAlaf kakeketwa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii ipo pande zipi?samahani nimechanganya na sheira... asante mkuu
Naomba kufamishwa hotel nzuri Morogoro, ni mara yangu ya pili, mara ya kwanza nililala Flomi hotel na nilipapenda sema mi napenda swimming na utulivu fulani, ila kwa pale flomi room nzuri sema hakuna ivyo vigezo vyangu, ila kila kitu kilikua poa sana kuanzia rooms na mazingira ya ndani kwa ujumla.
Mie nikiwa safarini Iringa niliingia Morogoro na gari niko chicha sana, polisi walinipeleka hoteli fulani nililala bure. Iko njia ya kwenda Klilakala Girls', na ina ulinzi mzuri sana, ila sikumbuki jina lake. Naona usiku walipuliza dawa ya mbu inanuka vibaya! Asubuhi walini-check out nikaendelea na safari.
duh yaan uko chicha ht hujitambui?kisa ninn! aisee!
Matata ya muasi na mobali esila te na mokili Mkuu.
Nashera Hotel ndo mpango mzima
Nakosala nini?ahahahaa kuna watu hamjipendi na maisha yalivyo matamu namna hii!yaan nimejikuta nakushangaa! chicha??/mh pre rest in peace mzeiya!(jokes aside)