Hoteli mpya ya Lowasa ktk plot ya serikali

ndugu hiyo sehemu ilishauzwa...uliza vizuri hiyo ndio serikali na nafikiri si swala la kumlaumu lowassa laumu serikali yako...NIC IMEUZA NYUMBA HAPA KATI MOJA WAPO WALIKUWA WAKIPIGA KELELE KANUNU MKULU WETU SO HAYA MAMBO YA KUGAIANA YAPO SWALA NA WEWE FAITI UINGIE KWENYE SISITIMU UJIGAWIE...NAMAANISHA KILA MTU SASA AJITAHD KUINGIA KWENYE MLO UKIWASUBIIRI HAWA UTAKUTANA WAJUKUU WANAKUFA MASKINI
 
am sick and tired of this people
 
m2 anaemtetea lowasa simwelewi. pale dodoma alichukua kiwanja eneo la area d karibu na kwa feruzi wakati akiwa waziri mkuu akapiga greda kwa mkwara alipotimuliwa akalitelekeza.eneo hilo lilikuwa hifadhi ya mji.huyu ndiye lowasa anaetetewa na wana ccm.
 

Yes! Hata kama Lowasa ni mbaya, afanyeje wakati swala la kuuziana kiswahiba lilianzishwa na Mkapa? Kwenye system kama hii survival yako ni kuwa na mahusiano na wakubwa. Sasa Lowasa yuko nao , aache kutumia mwanya kwa sababu tu ni Lowasa? No. Hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo.
Hapa kinachotakiwa ni kupata uongozi thabit ambao utabadilisha mfumo huu wa kishikaji ili watu sasa waanze kufuata sheria.
Tena ikibidi, kama akatokea kiongozi, basi afanye tume ya maridhiano, ili hao waliojigawia mali waweze kuomba radhi, ikiwa ni pia kukubali kurejesha baadhi ya mali hiyo serikalini. Kujaribu kuwafunga, itakuwa kazi sana , maana ngazi zote wameshiriki wizi , ikiwa ni pamoja na majeshi yetu. Hivyo hawatakubali kuachia kirahisi. Patachimbika!
 
JK kasema " Lowasa ni mtu safi, yaliyopita si ndwele tugange yajayo, watu wa Monduli wampe kura awe mbunge wao" naongeza na atampa uwaziri wa fedha:A S 13: Hili ni JAMBAZI bwana, sioni cha ajabu kuona Kalembo kuwa katika hilikwani huyu ni Shemeji yake Mama Salma kwa hoi kapewa ukuu wa mkoa na mlozi mwenzake na anafanya madudu kma kawa.
 
Lowassa ni "addict" wa ardhi, viwanja na majengo. Daniel Yona anamfuata kwa mbali kisha FT Sumaye.
 
Msighafilike ndugu zangu kwani kwenye maandiko matakatifu tunajifunza yafuatayo:-

PROVERBS 13:11 Wealthy gained by dishonesty will be diminished but who gathers by labour will increase

Kwa hiyo baada ya Dr. Slaa kuingia madarakani tu mali zote hizo za wizi zitarudishwa kwa amri ya mahakama zetu bila zengwe na kifungo kinamsubiri cha muda mrefu. huyo jambazi.
 

Eneo hilo lililopo nje ya mji wa Morogoro lipo kata ya PARAKUYO Lipo mbele ya Ranch ya mkata nie eneo kubwa sana na ndani ya eneo hilo kuna nyumba zaidi ya 40 za makazi ya watu na makanisa mawili na msikiti mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…