!
!
anauezijua za kati ya 5000 hadi 15000 anishtue tafadhali. Sina haja na risiti wala nini, pawe kimya choo kisafi basi. Vingine home ninavyo so, sio inshu.
!
!
anauezijua za kati ya 5000 hadi 15000 anishtue tafadhali. Sina haja na risiti wala nini, pawe kimya choo kisafi basi. Vingine home ninavyo so, sio inshu.
Nenda Meru Inn 35000 iko karibu na Summit center au NHC barabara ya Sokoine pazuri sana.
Nenda Pinpoint juuu kabisa, Bei 20000/= Chini kuna starehe zote, kuanzia miraa, vimanzi, mivinyo fegi na kitu cha Arusha.
shuka mianzin 2... upande wa kushoto nimesahau jina lake....ni kigorofa elf 30
Hapo AM pako poa. Ni karibu na stendi ya mabasi na huduma nyingine. Na inamilikiwa na AM mwenyewe.
Humtakii mema huyu jamaa - Hapo Monjes ni karibu na ile sehemu wanaokaa wale wajasiriamali kina dada poa!
Kwa kuanzia...kaangalie Mick Rest House. Ipo karibu stendi ya Dar Express na pia karibu na msikiti Masjid Kuba. Bei 25000 na 30000.
Kwa kuanzia...kaangalie Mick Rest House. Ipo karibu stendi ya Dar Express na pia karibu na msikiti Masjid Kuba. Bei 25000 na 30000.
Mkuu kwani home hauna choo??
Hahahahaha mkuu mimi rist muhimu kaka zinahitajika ofsini kaka sunajua tena ofsi za watu huwez toa maelezo bila kithibitisho mkuu
Nenda Pinpoint juuu kabisa, Bei 20000/= Chini kuna starehe zote, kuanzia miraa, vimanzi, mivinyo fegi na kitu cha Arusha.
Njoo huku ungalimited kuna hotel nzuri ya bei rahisi 5000/= tu
Wakuuu habari leo naelekea Arusha ipi hotel ya bei ndogo wakuuu hapo Arusha ijsyozidi alfu hamsini kwa siku au chini ya hapo??naomba msaada na ukilala unapewa rist ya malipo yako??
Hapo AM pako poa. Ni karibu na stendi ya mabasi na huduma nyingine. Na inamilikiwa na AM mwenyewe.
Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!