A
Anonymous
Guest
Kuna kitu kimoja katika Chuo Cha DIT sikielewi. DIT Kuna Hostels ambazo wanaopangiwa ni government sponsored na First year nadhani.
Sasa unaukuta Kuna hostels zimebaki ambazo wanatakiwa wapangiwe wanafunzi wanaoendelea,.
Sasa kwenye kuzipata hizi hostels inatakiwa ulipie Laki tatu kwa Viongozi ili tu upewe control number, sijajua kama uongozi wa chuo unaufahamu kuhusu Hili.
Hyo laki tatu ni kama Rushwa wanachukua Viongozi wa selikari ya wanafunzi.
Sasa unaukuta Kuna hostels zimebaki ambazo wanatakiwa wapangiwe wanafunzi wanaoendelea,.
Sasa kwenye kuzipata hizi hostels inatakiwa ulipie Laki tatu kwa Viongozi ili tu upewe control number, sijajua kama uongozi wa chuo unaufahamu kuhusu Hili.
Hyo laki tatu ni kama Rushwa wanachukua Viongozi wa selikari ya wanafunzi.