Hostel dar es salaam...

Hostel dar es salaam...

caiden mills

Member
Joined
Jul 13, 2019
Posts
49
Reaction score
19
Sorry kwa mwenye Uelewa na hostel za dar es salaam zinakuwa na bei gani.... Ambazo Zina facilities zote Sababu vyuo tulivochaguliwa havina hostels.. Regards Merci beacoup
 
Hostep huwa inakuwa karibu na vyup mkuu japo unatakiwa kuwahi.... Sio lazima ukae hostel za chuo kwanza za nje ndio nzuri but kama Unataka kujifunza maisha na kuenjoy challenge kadhaa tafuta mtu mshikane mkono mpange wote aiseh wengi wanaishi wawili chuo namalizia wanafanikiwa kujiwekea vzuri tu
 
Hostep huwa inakuwa karibu na vyup mkuu japo unatakiwa kuwahi.... Sio lazima ukae hostel za chuo kwanza za nje ndio nzuri but kama Unataka kujifunza maisha na kuenjoy challenge kadhaa tafuta mtu mshikane mkono mpange wote aiseh wengi wanaishi wawili chuo namalizia wanafanikiwa kujiwekea vzuri tu
Sawa....
 
Sorry kwa mwenye Uelewa na hostel za dar es salaam zinakuwa na bei gani.... Ambazo Zina facilities zote Sababu vyuo tulivochaguliwa havina hostels.. Regards Merci beacoup

Kwani tayari umepangiwa na hostel? Mfano kama una soma udsm Duce je unajuaje kama umepangiwa hostel?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom