Ktk hospital hiyo Kuna maeneo mengi ya kuegesha magari lkn cha kushangaza yamewekewa uzio huku watu waliokwenda kwa shughuli mbalimbali kama kuangalia wagonjwa wakihangaika wasijue la kufanya. Ni bora watutoze fedha ili tusihangaike kwa kuwa lazima wstu waende na magari kutokana eneo Hilo kuwa Ni la Huduma kwa wanadamu.