love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Habari za J3 natumai nyote muwazima,
Kilichonileta leo kuandika mada hapa maana kwa asilimia kubwa huwa ni muangaliaji but leo nami nimepata cha kuja kuuliza humu kuhusu hospitali ya mkoa wangu ya Mt. Meru na nachouliza za kutaka ufafanuzi ni hii sera mpya iliyopo ya mwanamke kujifungua.Hii sijui niite sera ama Sheria ilishaptishwa mimi na baadhi ya wenzangu kwa 98% hatuijui au ni kitu kilichoanzishwa na Serikali,wafanyakazi,bodi au?
Ni kwamba naona matangazo kwenye TVs, Magazeti na kusikia katika Radios kuwa mwanamke mjamzito anayekwenda kujifungua hatakiwi kulipishwa au kudaiwa chochote au kwenda na vifaa vya kujifungulia kama glovs nk! Sasa sijui hivyo vifaa vipogo au havipo katika hospitali hii maana ukienda mwanamke kujifungua lazima uwe navyo tena vingi.
Na sasa wameongeza uwe na 10,000 na ndoo ndogo ya kutia nguo zako hii ya ndoo naweza sema llibidi ni usafi kuzingatiwa ni sawa ila sasa hivyo vifaa na hiyo 10,000 ya nini huku Serikali inatangaza kuwa utakiwi kulipishwa na vifaa utavikuta hukohuko?Ikiwa umetokea kwenda huna hivyo vitu unatukanwa matusi ya nguoni na unaachwa hapo mapokezi akugusi wala akupokei mtu.
Naomba tu kujuzwa je, hili limepitishwa kihalali na kama ndio kwanini wasitoe matangazo kwenye vyombo vya habari kuwa mwanamke yeyote anayetaka kuja kujifungulia Mt. Meru hosp anatakiwa kuja na hiki na hiki ili watu tujue na tusifatilize tangazo la Serikali?
Kilichonileta leo kuandika mada hapa maana kwa asilimia kubwa huwa ni muangaliaji but leo nami nimepata cha kuja kuuliza humu kuhusu hospitali ya mkoa wangu ya Mt. Meru na nachouliza za kutaka ufafanuzi ni hii sera mpya iliyopo ya mwanamke kujifungua.Hii sijui niite sera ama Sheria ilishaptishwa mimi na baadhi ya wenzangu kwa 98% hatuijui au ni kitu kilichoanzishwa na Serikali,wafanyakazi,bodi au?
Ni kwamba naona matangazo kwenye TVs, Magazeti na kusikia katika Radios kuwa mwanamke mjamzito anayekwenda kujifungua hatakiwi kulipishwa au kudaiwa chochote au kwenda na vifaa vya kujifungulia kama glovs nk! Sasa sijui hivyo vifaa vipogo au havipo katika hospitali hii maana ukienda mwanamke kujifungua lazima uwe navyo tena vingi.
Na sasa wameongeza uwe na 10,000 na ndoo ndogo ya kutia nguo zako hii ya ndoo naweza sema llibidi ni usafi kuzingatiwa ni sawa ila sasa hivyo vifaa na hiyo 10,000 ya nini huku Serikali inatangaza kuwa utakiwi kulipishwa na vifaa utavikuta hukohuko?Ikiwa umetokea kwenda huna hivyo vitu unatukanwa matusi ya nguoni na unaachwa hapo mapokezi akugusi wala akupokei mtu.
Naomba tu kujuzwa je, hili limepitishwa kihalali na kama ndio kwanini wasitoe matangazo kwenye vyombo vya habari kuwa mwanamke yeyote anayetaka kuja kujifungulia Mt. Meru hosp anatakiwa kuja na hiki na hiki ili watu tujue na tusifatilize tangazo la Serikali?