Hakuna hospital ya kidini inayojiendesha 100%. Serikali ni mdau mkubwa sana kcmc nazani inalipa karibu mishahara yote ya watumishi. hivyo hatua za kiuchunguzi zifanyike ku clear hizo allegationsHebu nipeni maelezo kwa ufupi Serikali na KKKT wanamiliki hiyo hosp kwa makubaliano yapi. Na wananufaika vipi. Maana mkisema kuna ufisadi mara sijui raisi aende, mara oooh wazir wa afya wakati ni hospital ya asasi ya kidini nashindwa elewa
Gonga like. Nipe maelezo. Sitaki povu
Kumkoma nyani geladi