Hospitali ya Kairuki wanachelewa kutibia wagonja

Hospitali ya Kairuki wanachelewa kutibia wagonja

wengiwengi

Member
Joined
Jun 13, 2014
Posts
30
Reaction score
23
Nina mgonjwa wangu nilimpeleka pale hospitali ya kairuki juzi saa 6 mchana, alikua anaumwa sana sanaa lakini cha kushangaza wao walivyompokea walimwekea drip tu na wakasema wamechukua vipimo na hakuna kingine kilichofanyika juu ya mgonjwa wangu zaid ya kumpa kitanda alale asubirie kesho yake madaktari waje ndio watoe majib ya vipimo. Nikajiuliza kuanzia sa 6 mchana nilimpofikisha hawajaweza hata kumwambia unaumwa maleria anza na dozi hii au kunywa dawa hizi wao ni wanasema hadi kesho sasa kama akizidiwa usiku itakuaje??? Na huu utaratibu wa kusubiri had kesho kwa wagonjwa walio serious si hatari kwa uhai wa wagonjwa???? Hii hospitali nayo ichunguzwe, yawezekana ikawa inasabibisha vifo visvyo vya lazima kwa kuchelewesha kuhudumia wagonjwa.
 
Pole sana mkuu kila sekta imepoteza uwajibikaji na kujituma.Ni misingi mibovu sana kama nchi
 
Pole sana
pole sana
pole sana

Sent from my kibamia Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ni tatizo kubwa sekta ya afya madaktari ni wachache daktari utakae muona hapo ndio utamuona na hospital nyingine pia yaani wanazunguka zamu zamu kila hospital na madaktari wanajali pesa tu
 
Saa 6 mchana, huduma mpaka kesho?...kweli hili jipu lapaswa kutumbuliwa.
 
Back
Top Bottom