KERO Hospitali ya Taifa Muhimbili (Mloganzila) Madaktari wanafunzi ni Janga. Watu wanakufa kwa uzembe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
12,601
23,252
Hii hospitali kama serikali na uongozi hautachukua hatua za haraka watanzania wengi wataendelea kufa kwa uzembe wa madaktari wanafunzi ambao hawasimamiwi ipasavyo na wakuu wao kazi.

Nimeshuhudia mgonjwa wangu akiambiwa hana tatizo lolote la nyonga baada ya kumpeleka akiwa amepata ajali na daktari ambaye ni mwanafunzi kusoma vipimo akatuambia mgonjwa aendelee na dawa alizopewa ( tulianzia matibabu hospitali ya wilaya kabla ya kwenda hapo mloganzila)

Tulipata mashaka na tukarudi tena kuomba uchunguzi zaidi ndipo daktari msimamizi wa mwanafunzi huyo alipokuja nadhani alikua kikaoni na baada ya kupitia tena vipimo alibadilika ghafla na kuwa mkali sana na kumfokea yule daktari mwanafunzi kuwa kwanini hajaona tatizo la nyonga kuvunjika? Na ni eneo hatari sana kwa mgonjwa? Japo alikua akimfokea kwa kiingereza ila tuliweza kujuwa kuwa daktari mwanafunzi alizembea katika matobabu ya ndugu yetu.
Nashukuru tumepangiwa tarehe ya operesheni. Ila nimeondoka na maswali mengi kichwani je ni wagonjwa wa ngapi wanaopitia hali kama tuliyopitia sisi?

Naomba serikali na uongozi mzima wa hospitali ya taifa ya Muhimbili (mloganzila) kuchukua hatua za haraka kuokoa maisha ya watanzania.
 
Hii hospitali kama serikali na uongozi hautachukua hatua za haraka watanzania wengi wataendelea kufa kwa uzembe wa madaktari wanafunzi ambao hawasimamiwi ipasavyo na wakuu wao kazi.

Nimeshuhudia mgonjwa wangu akiambiwa hana tatizo lolote la nyonga baada ya kumpeleka akiwa amepata ajali na daktari ambaye ni mwanafunzi kusoma vipimo akatuambia mgonjwa aendelee na dawa alizopewa ( tulianzia matibabu hospitali ya wilaya kabla ya kwenda hapo mloganzila)

Tulipata mashaka na tukarudi tena kuomba uchunguzi zaidi ndipo daktari msimamizi wa mwanafunzi huyo alipokuja nadhani alikua kikaoni na baada ya kupitia tena vipimo alibadilika ghafla na kuwa mkali sana na kumfokea yule daktari mwanafunzi kuwa kwanini hajaona tatizo la nyonga kuvunjika? Na ni eneo hatari sana kwa mgonjwa? Japo alikua akimfokea kwa kiingereza ila tuliweza kujuwa kuwa daktari mwanafunzi alizembea katika matobabu ya ndugu yetu.
Nashukuru tumepangiwa tarehe ya operesheni. Ila nimeondoka na maswali mengi kichwani je ni wagonjwa wa ngapi wanaopitia hali kama tuliyopitia sisi?

Naomba serikali na uongozi mzima wa hospitali ya taifa ya Muhimbili (mloganzila) kuchukua hatua za haraka kuokoa maisha ya watanzania.
Wasomi feki ni zao la walimu feki ...ccm ni 👉💩💩💩
 
Wakubwa wao wako busy sites za dada poa wanatafuta huduma...umkute ofisini hapo kavaa miwani yake kwny computer utajua anafanya kazi ya maana kumbe upupu...kama ni wanawake wapo busy na majungu kusemana...hii nchi Magufuli ndo aliwakomesha watumishi wa uma...kwa sbb alisikiliza kero direct na kutake actions...hapa mpk kijiji kipuputike ndo bi mdashi ataongea...
 
Hii hospitali kama serikali na uongozi hautachukua hatua za haraka watanzania wengi wataendelea kufa kwa uzembe wa madaktari wanafunzi ambao hawasimamiwi ipasavyo na wakuu wao kazi.

Nimeshuhudia mgonjwa wangu akiambiwa hana tatizo lolote la nyonga baada ya kumpeleka akiwa amepata ajali na daktari ambaye ni mwanafunzi kusoma vipimo akatuambia mgonjwa aendelee na dawa alizopewa ( tulianzia matibabu hospitali ya wilaya kabla ya kwenda hapo mloganzila)

Tulipata mashaka na tukarudi tena kuomba uchunguzi zaidi ndipo daktari msimamizi wa mwanafunzi huyo alipokuja nadhani alikua kikaoni na baada ya kupitia tena vipimo alibadilika ghafla na kuwa mkali sana na kumfokea yule daktari mwanafunzi kuwa kwanini hajaona tatizo la nyonga kuvunjika? Na ni eneo hatari sana kwa mgonjwa? Japo alikua akimfokea kwa kiingereza ila tuliweza kujuwa kuwa daktari mwanafunzi alizembea katika matobabu ya ndugu yetu.
Nashukuru tumepangiwa tarehe ya operesheni. Ila nimeondoka na maswali mengi kichwani je ni wagonjwa wa ngapi wanaopitia hali kama tuliyopitia sisi?

Naomba serikali na uongozi mzima wa hospitali ya taifa ya Muhimbili (mloganzila) kuchukua hatua za haraka kuokoa maisha ya watanzania.
Nilipoteza mtoto aliyekua anazaliwa mwaka jana hospital ya ifisi mkoa wa mbeya kwa uzembe wa madaktari wanafunzi. Hili la madaktari kujifunzia kwenye miili ya watu wetu, inakera sana
 
Back
Top Bottom