Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

econonist

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
15,818
21,815
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili mistake Gaza isipokuwa.vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombo wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Ww jamaa ubanifurahishaga tu 🤣
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Na kwa sasa hakuna anayeruhusiwa kutoka , kuna.mtu aliongozana na.mwanamke wameuliwa getini. Wengine wakarudi ndani.
Kumbe Hamas ndiyo walikuwa wafanyakazi wa UNRWA, na ndo madereva wa ambulance.
Hata sisi tulipoingia uganda nakumbuka raia.walijetenga na jeshi ikawa salama.yao.
Ndiyo maana Israel hawasikilizi sauti yeyote wanajua wanao ushahidi.watautoa baadaye ikibidi mbele ya jumuia za kimataifa
 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Bisha tu,imani huwa haimpi mtu nafasi ya kufikiri,hata kama anaona hii ni nyekundu
 
Hao mateka watakuwa wamekufa wengi Kwa njaa,kiu na kukosa dawa za matibabu.
Kosa walilofanya Hamas ni kitendo cha kuteka watu wa mataifa mbalimbali
Wajinga walitaka dunia nzima iunge mkono wao utaungwaje mkono kwa kuteka raia wa nchi nzingine? Walidhani watu wa nchi nyingine wana uchungu na wao tu hawana uchungu na raia wao

Sasa kimeinuka hata watanzania hatuna mpango nao warudishe mateka wetu

Israeli ikifanikiwa kuokoa mateka wetu watakuwa taifa shujaa kwetu na la kuzidi kuheshimiwa mno na Hamas watazidi kupoteza heshima duniani kila atakayekutana nao atasema migaidi hiyo iliteka watu wetu
Tanzania mfano tuwaheshimu kwa lipi hao Hamas wametutekea watu wetu Mollel na Mtenga
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Kabisa, na nguvu inayotumiwa na raia pamoja na staffs kuwavimbia IDF kuhama eneo inadhihirisha wazi kabisa kwamba hapo hospitalini Kuna kitu.
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeis
ha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.

 
We mtoa mada nani kakudangaya hakuna sehemu rahisi kufika kama hapo Israel wamekuja kwa njia ya bahari na upande wa kusini, kwa kuwa wewe akili zako kama Natanyahu mnadhani Hamasi wajinga kuwawacheni mfike hapo

Sa waulize askari wa Israel kwanini wengine walikimbia vifaru wakajificha kwenye majumba, na bado mlidhani Hamasi hakufahamu mnataka kuchukua Hollywood film, ndio sababu akawachoa mpitishe VIFARU kiulainl target yake ndio hio ili msitoke Gaza isipokuwa muwe vilema au maiti

We tega sikio tu uone kama hawaombi wao vita isimame kwa masharti ya Hamasi
Nyie ndio mnaaibisha dini ya mnyazi mungu
 
al shifa hospital.jpg
 
Na kwa sasa hakuna anayeruhusiwa kutoka , kuna.mtu aliongozana na.mwanamke wameuliwa getini. Wengine wakarudi ndani.
Kumbe Hamas ndiyo walikuwa wafanyakazi wa UNRWA, na ndo madereva wa ambulance.
Hata sisi tulipoingia uganda nakumbuka raia.walijetenga na jeshi ikawa salama.yao.
Ndiyo maana Israel hawasikilizi sauti yeyote wanajua wanao ushahidi.watautoa baadaye ikibidi mbele ya jumuia za kimataifa
Ndio maana vita ilipokolea ambulance gaza zilikuwa nyingi zinakimbia huku na kule kumbe zinasafirisha silaha na Askari wa Hamas .Jeshi la IDF la Israel lilipogundua ki ambulance chochote kikipiga king'ora sijui kinaenda wapi au kutaka kuingia hospitali kinatandikwa bomu au kombora popte kinapiga king'ora
 
Na kwa sasa hakuna anayeruhusiwa kutoka , kuna.mtu aliongozana na.mwanamke wameuliwa getini. Wengine wakarudi ndani.
Kumbe Hamas ndiyo walikuwa wafanyakazi wa UNRWA, na ndo madereva wa ambulance.
Hata sisi tulipoingia uganda nakumbuka raia.walijetenga na jeshi ikawa salama.yao.
Ndiyo maana Israel hawasikilizi sauti yeyote wanajua wanao ushahidi.watautoa baadaye ikibidi mbele ya jumuia za kimataifa
Kabisa,Netanyau hakuna kusikiliza kelele za kenge yeyote huko duniani mpaka oparesheni itakapokwisha
 
Back
Top Bottom