Hospital ya Kikwete: Watoto 34 wafanyiwa upasuaji wa moyo

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
16,054
11,565
watoto 34 wamefanyiwa upasuaji katika hospital ya moyo ya Jakaya Kikwete. Kinachonishangaza hawa akina Mengi na Lions club mbona hawapeleki watoto kutibiwa hapo? au kule india kulikuwa na siri gani? kwani walikuwa tayari hata kuwakusanya mitaani ili mradi wawapeleke india.
 
Back
Top Bottom