Hilo ni kweli sikupingi kunasiku nimeangalia horror movie imetafsiliwa na hawa jamaa zetu wa kariakoo zile sound na vishindo vya kutisha amezimute ana zunguza yeye basi hata kama kunajambo baya linataka kutokea husikii viashilia vyovyote sauti basi movie ikapoteza maana kabisa movie tamu ni zile original utainjoyTafuta The Conjuring Universe. Angalia zote!
Kinachoongeza ubora zaidi katika horror movies ni uwepo wa zile infrasounds. Ni frequency ndogo sana za sauti ambazo mtazamaji huzisikii ila unaweza kuhisi katika fahamu zako uwepo wa kitu fulani hatarishi pale zinapokuwepo frequency hizo.
Ukiondoa hizo sauti, horror movie inaweza kuishia kuwa kama comedy tu!
Nimeangalia movie kadha za kutisha ila hizi mbili ni shida
1. The NUN
2. SICCIN 2
Kama kuna nyingine unaifahamu ni kiboko zaidi nisaidie jina lake nikajipime ujasiri wangu
Sasa kama unayo nitumie link plzCiccin zipo mpaka 5 hiz narudia tena ukiweza kuzimaliza zote 5 lazim moyo wako ufe ganzi
Nimeishia part 2 siwez endelea movie ina ukatiri wa kichawi mpaka naogopaSasa kama unayo nitumie link plz
Yule fala wa kko movie zake zinaangaliwa na vichaa tu, hajui maana ya sound za movieHilo ni kweli sikupingi kunasiku nimeangalia horror movie imetafsiliwa na hawa jamaa zetu wa kariakoo zile sound na vishindo vya kutisha amezimute ana zunguza yeye basi hata kama kunajambo baya linataka kutokea husikii viashilia vyovyote sauti basi movie ikapoteza maana kabisa movie tamu ni zile original utainjoy
Yule fala wa kko movie zake zinaangaliwa na vichaa tu, hajui maana ya sound za movie
Hiyo siccin 2 inaelezea visa vya kweli vilivyotokea Uturuki ..namna watu wanavyokua possesed na majini..japo kwa wale wasiopenda kusikia qoran ikisomwa inaweza ikawa distrubing kwao..so far ni muvi nzuri sana..nisimalize maneno! Sikujua kama waturuki ni wakali kwenye horror kiasi hiki..nilijua ni kule azam tu kwenye tamthilia hizi za kawaida.Nimeangalia movie kadha za kutisha ila hizi mbili ni shida
1. The NUN
2. SICCIN 2
Kama kuna nyingine unaifahamu ni kiboko zaidi nisaidie jina lake nikajipime ujasiri wangu
ni nyoko hizii mamaeeeTafuta The Conjuring Universe. Angalia zote!
Kinachoongeza ubora zaidi katika horror movies ni uwepo wa zile infrasounds. Ni frequency ndogo sana za sauti ambazo mtazamaji huzisikii ila unaweza kuhisi katika fahamu zako uwepo wa kitu fulani hatarishi pale zinapokuwepo frequency hizo.
Ukiondoa hizo sauti, horror movie inaweza kuishia kuwa kama comedy tu!
Kuna mziki unaitwa Hellriser huu upo full packege ukiumaliza huu unaweza hata kwenda kulala na misikule bila shaka
Yule fala wa kko movie zake zinaangaliwa na vichaa tu, hajui maana ya sound za movie