Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

Infropreneur

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2022
Posts
12,845
Reaction score
27,270
Will Africa get a black Pope?

Thinking that there can be a black Pope from Africa is ignorance on steroids.

Why does Africa still seek validation through western institutions?

Wakristo wengi wa Afrika hawajui na hawaelewi kwamba papa sio tu kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, bali pia ni kiongozi mkuu wa kisiasa wa Vatikani.

Papa ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, Pia ni mkuu wa Jimbo la Vatikani, Jimbo huru lililo ndani ya mji wa Roma.

Vatican is a separate independent city- state located within Rome.

Papa ana mamlaka ya kidini juu ya kanisa katoliki duniani🌍.

Pia, Papa ana mamlaka ya kisiasa na kiraia ndani ya jimbo la Vatikani pekee.

Kufikiri kwamba "Papa mweusi" anaweza kuchaguliwa kutoka Afrika, akatawale Vatikani na awe mkuu wa Vatikani mwenye mamlaka kisiasa na kiraia, ni ndoto za mchana, ndoto za Ndaria na ndoto za Alinacha.

Kufikiri kwamba Afrika inaweza kutoa Papa akaongoze na kusimamia siasa za Vatikani, Ni sawa na kufikiri klabu kama Real Madrid, Man City, Bayern Munich au PSG zinaweza kuteua na kumchukua Kocha kutoka klabu za Namungo au Ihefu akaongoze, akasimamie na akawafundishe mpira....⚽

Wachina, waarabu, wahindi, Wajapani na wakorea wanapambana kukuza tamaduni zao, mila zao na imani zao.
Waafrika bado wanafikiri kutukuza imani za wazungu na wanapambana wakawe viongozi wakuu wa ngazi ya juu, kwenye miji ya watu..!!!

Mpaka sasa kuna 266 popes waliohudumu katika kanisa katoliki. Na katika hao 266, mapapa watatu tu ndio wanadaiwa kutoka Afrika(Pope Victor I, Pope Miltiades na Pope Gelasius I).

Na hawa mapapa watatu walihudumu kwenye karne ya pili huko. Kiasi kwamba hakuna taarifa, ushahidi na utafiti wa kina unaothibitisha kwamba kweli walitoka Afrika. Ni historia ya kanisa tu, imeandika hivyo.

Kwenye kikao cha siri cha makardinali kumchagua papa
(Conclave), Idadi kubwa ya makardinali ni kutoka ulaya. Makardinali kutoka Afrika tayari wanazidiwa kete. Wanaenda tu kukamilisha ratiba na utaratibu.

The Vatican is a European institution. The Catholic church's roots and headquarter are in Europe. Its culture and governance model are Eurocentric.

The Cardinals who vote for a pope are predominantly European and western- trained. And most of them are from Europe.

Waafrika wanaenda kama wasindikizaji tu.


You can't see Japanese, Chinese, Indians, Arabs or Koreans fighting to lead the Vatican. Why?
Because they are focused on building their own cultural power, reviving their philosophies, beliefs, languages, economies and technology. They are not seeking validation from western countries. They cannot be manipulated by western religious systems.

It's only Africans who are seeking validation from western religious systems to the point that, they hope for the black pope from Africa.

The Vicar of christ, Pontiff(Pope) and the Political head of Vatican must be a whiteman. Africans are only reserved for Devil's representatives only.

Christianity has nothing tangible to offer a black race in this life. Two weeks from today, time to burn black smoke to elect another white pope.

The least qualified white man will be picked over a most qualified black man, if it comes to that.

A white man cannot bow to a black pope.

Think or Sink.

I'm out.
 
Nimetembea ulaya na marekani sijawahi kumuona mtu mweupe, nikaenda china na huko bado sijawahi kumuona mtu mweupe.

Wewe mwenzangu mtu mweupe ulimwona katika nchi gani ?
Duuh hao wenye kiingereza chao wenyewe ukisema white man wanajua unachomaanisha na hawapingi hilo, halafu wewe ndio unataka kuleta ujuaji wewe pia ni mfano mzuri wa watu anaowaongelea mtoa mada, huna tofauti na hao wanaojifanya wanajua sana dini kuliko wenye hizo dini
 
Hili lipo wazi,wala haina haja ya kuisumbua akili kwamba tuwe na matarajio Afrika itoe papa.

Sio kwamba hatuijui imani ya kidini la ila huo mfano ulio toa mleta mada wa kocha wa timu ya ihefu akafundishe real Madrid nivigumu sana na isio wezekana, sio kwamba mwalimu wa ihefu hafahamu kanunu na miongozo ya mpira ila hata awe bora na mwenye ufahamu kiasi gani hawezi kupata ruhusa hio.
 
Hili lipo wazi,wala haina haja ya kuisumbua akili kwamba tuwe na matarajio Afrika itoe papa.

Sio kwamba hatuijui imani ya kidini la ila huo mfano ulio toa mleta mada wa kocha wa timu ya ihefu akafundishe real Madrid nivigumu sana na isio wezekana, sio kwamba mwalimu wa ihefu hafahamu kanunu na miongozo ya mpira ila hata awe bora na mwenye ufahamu kiasi gani hawezi kupata ruhusa hio.
On point...👍
 
Hata hao unaosema waliwahi kushika wadhifa huo na bado kuna walakini.

Kuna cardinal Pizzaballa wa Jerusalem
Baada ya miaka 1000 watasema alikuwa na asili tofauti kisa ni Jerusalem
Kumbe ni Italian
 
Will Africa get a black Pope?

Thinking that there can be a black Pope from Africa is ignorance on steroids.

Why does Africa still seek validation through western institutions?

Wakristo wengi wa Afrika hawajui na hawaelewi kwamba papa sio tu kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, bali pia ni kiongozi mkuu wa kisiasa wa Vatikani.

Papa ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, Pia ni mkuu wa Jimbo la Vatikani, Jimbo huru lililo ndani ya mji wa Roma.

Vatican is a separate independent city- state located within Rome.

Papa ana mamlaka ya kidini juu ya kanisa katoliki duniani🌍.

Pia, Papa ana mamlaka ya kisiasa na kiraia ndani ya jimbo la Vatikani pekee.

Kufikiri kwamba "Papa mweusi" anaweza kuchaguliwa kutoka Afrika, akatawale Vatikani na awe mkuu wa Vatikani mwenye mamlaka kisiasa na kiraia, ni ndoto za mchana, ndoto za Ndaria na ndoto za Alinacha.

Kufikiri kwamba Afrika inaweza kutoa Papa akaongoze na kusimamia siasa za Vatikani, Ni sawa na kufikiri klabu kama Real Madrid, Man City, Bayern Munich au PSG zinaweza kuteua na kumchukua Kocha kutoka klabu za Namungo au Ihefu akaongoze, akasimamie na akawafundishe mpira....⚽

Wachina, waarabu, wahindi, Wajapani na wakorea wanapambana kukuza tamaduni zao, mila zao na imani zao.
Waafrika bado wanafikiri kutukuza imani za wazungu na wanapambana wakawe viongozi wakuu wa ngazi ya juu, kwenye miji ya watu..!!!

Mpaka sasa kuna 266 popes waliohudumu katika kanisa katoliki. Na katika hao 266, mapapa watatu tu ndio wanadaiwa kutoka Afrika(Pope Victor I, Pope Miltiades na Pope Gelasius I).

Na hawa mapapa watatu walihudumu kwenye karne ya pili huko. Kiasi kwamba hakuna taarifa, ushahidi na utafiti wa kina unaothibitisha kwamba kweli walitoka Afrika. Ni historia ya kanisa tu, imeandika hivyo.

Kwenye kikao cha siri cha makardinali kumchagua papa
(Conclave), Idadi kubwa ya makardinali ni kutoka ulaya. Makardinali kutoka Afrika tayari wanazidiwa kete. Wanaenda tu kukamilisha ratiba na utaratibu.

The Vatican is a European institution. The Catholic church's roots and headquarter are in Europe. Its culture and governance model are Eurocentric.

The Cardinals who vote for a pope are predominantly European and western- trained. And most of them are from Europe.

Waafrika wanaenda kama wasindikizaji tu.


You can't see Japanese, Chinese, Indians, Arabs or Koreans fighting to lead the Vatican. Why?
Because they are focused on building their own cultural power, reviving their philosophies, beliefs, languages, economies and technology. They are not seeking validation from western countries. They cannot be manipulated by western religious systems.

It's only Africans who are seeking validation from western religious systems to the point that, they hope for the black pope from Africa.

The Vicar of christ, Pontiff(Pope) and the Political head of Vatican must be a whiteman. Africans are only reserved for Devil's representatives only.

Christianity has nothing tangible to offer a black race in this life. Two weeks from today, time to burn black smoke to elect another white pope.

The least qualified white man will be picked over a most qualified black man, if it comes to that.

A white man cannot bow to a black pope.

Think or Sink.

I'm out.
Hata akichaguliwa haitaondoa ukoloni na unyonyaji wa kidini ambao umekuwapo tangu dini nyemelezi zililtwe Afrika.
 
Back
Top Bottom