Hoooooodi wana jf

Habari wana JF!&lt;br /&gt;<br />
Nimefurahi kuwa member wa familia hii.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Welcome Best! Lkn hisia inaniambia inaweza ikawa wewe ni yule yule wa siku zote. Ila karibu tu. Na bila shk 2na wachambuzi kwa wageni wazuri sana na bila shk 2nakukaribisha kw mikono yote miwili. Na km ulikuwa na mambo yako km unavyojijua,Humu ndani ha2taki kusikia wa kuona kama ulivyopata kusoma ktk vipengele vya www.jamiiforums.com.. Done!
 
<br />
<br />
ma Great Thinkers hawaandiki hivi. Civilized person hawawez kutumia aina huu wa uandishi. Haipendezi educated person as you, unatumia vifupisho ambavyo havina maana mf. 2=tu.
 
Karibu bhana...ila hilo jina lako lina utata mno. 🙂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…