Hoodiii

Hoodiii

malisak

Platinum Member
Joined
Mar 16, 2006
Posts
739
Reaction score
852
Jamani heri ya mwaka mpya naona hata haya kwanza, ngoja nijibrekishe kwanza maana mapande ya akina mzee mwanakijiji sijui kama nitayahimili.
 

ni hilo hilo tu la kuhimili?(kumudu/kuvumilia) falsafa imelala hapa kijana,haya kama ulidhani mhimili huo uujuao imekula kwako tehe!!! happy new year
 
ni hilo hilo tu la kuhimili?(kumudu/kuvumilia) falsafa imelala hapa kijana,haya kama ulidhani mhimili huo uujuao imekula kwako tehe!!! happy new year
avatar143_1.gif
 
ninyi wawili wa mwisho mmenichanganya.
 
ILA WEWE NI WA UKELI TOKA 2006 HADI SASA hivi hujasahai password tu

Ni moja kati ya watu wachache ambao walianza 2006 lakin bado ni Snr Member kama mimi niliyezaliwa juzi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom