YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,003
Kiingereza kina matawi na lafudhi nyingi na matamshi tofauti tofauti.Waingereza wenyewe wanasisitiza kuwa cha muhimu ni kueleweka ulitaka kusema nini
Mfano kwenye kiswahili Mswahili wa pwani akimsikiliza mchaga akiongea kiswahili anatamani kucheka maana kiswahili chake si fasaha anaongea utafikiri kameza chura aliye hai mdomoni anapoongea.Cha muhimu mtu wa Pwani anachofanya ni kumvumilia kumwelewa hasa anataka kusema nini.
Kiingereza kiko toifauti tofauti.Mhindi akikuongelesha kingereza una kazi ya kuelewa.KINGEREZA KIKO CHA uk,IRELAND,america na kuna kiingereza kile cha BLACK AMERICANS ni aibu tupu kiko hovyo hovyo lakini kinakubalika katika jamii ya waongea kiingereza kuwa ni kiingereza kama ambavyo kiswahili kibovu cha wahindi,wakenya na wakongo kinavyokubalika kwenye jamii ya waongea kiswahili
Kwa mwanasiasa yeyote hana haja ya kuogopa kuongea broken english.Cha muhimu aeleweke alitaka kusema nini
Wazungu wengi huwa wanawashangaa mno watanzania kuona kuwa wanajua kiingereza.Sababu kwa watanzania wengi kiingereza ni lugha ya tatu.Mfano mchaga akizaliwa anatakiwa kujua lugha ya kichaga hadi aimudu barabara,akitoka hapo anaingia kujifunza kiswahili hadi akimudu barabara,halafu baada ya hapo aingie lugha ya tatu ya kiingereza aijue.Wanashangaa.Hivyo mtu lugha ya Tatu akiongea broken kumzomea si sahihi inabidi apongezwe
Kumbuka waingereza na wamarekani wakizaliwa lugha ni kiingereza tu sasa utawalinganisha na mtu anayetakiwa kuijua kama Lugha ya tatu? Wazungu wengi wanasema mtu kumudu lugha tatu ni kitu cha ajabu
Wote mnaoongea broken English hongereni endeleeni kuongea hata umoja wa mataifa.
Mzungu akija nchini akiongea kiswahili kibovu watu wanapiga makofi mswahili akiongea kiingereza kibovu eti waswahili wanamzomea.Kuna waswahili nadhani wana mapepo hasa wanaozomea mswahili akiongea kiingereza kibovu.
Mfano kwenye kiswahili Mswahili wa pwani akimsikiliza mchaga akiongea kiswahili anatamani kucheka maana kiswahili chake si fasaha anaongea utafikiri kameza chura aliye hai mdomoni anapoongea.Cha muhimu mtu wa Pwani anachofanya ni kumvumilia kumwelewa hasa anataka kusema nini.
Kiingereza kiko toifauti tofauti.Mhindi akikuongelesha kingereza una kazi ya kuelewa.KINGEREZA KIKO CHA uk,IRELAND,america na kuna kiingereza kile cha BLACK AMERICANS ni aibu tupu kiko hovyo hovyo lakini kinakubalika katika jamii ya waongea kiingereza kuwa ni kiingereza kama ambavyo kiswahili kibovu cha wahindi,wakenya na wakongo kinavyokubalika kwenye jamii ya waongea kiswahili
Kwa mwanasiasa yeyote hana haja ya kuogopa kuongea broken english.Cha muhimu aeleweke alitaka kusema nini
Wazungu wengi huwa wanawashangaa mno watanzania kuona kuwa wanajua kiingereza.Sababu kwa watanzania wengi kiingereza ni lugha ya tatu.Mfano mchaga akizaliwa anatakiwa kujua lugha ya kichaga hadi aimudu barabara,akitoka hapo anaingia kujifunza kiswahili hadi akimudu barabara,halafu baada ya hapo aingie lugha ya tatu ya kiingereza aijue.Wanashangaa.Hivyo mtu lugha ya Tatu akiongea broken kumzomea si sahihi inabidi apongezwe
Kumbuka waingereza na wamarekani wakizaliwa lugha ni kiingereza tu sasa utawalinganisha na mtu anayetakiwa kuijua kama Lugha ya tatu? Wazungu wengi wanasema mtu kumudu lugha tatu ni kitu cha ajabu
Wote mnaoongea broken English hongereni endeleeni kuongea hata umoja wa mataifa.
Mzungu akija nchini akiongea kiswahili kibovu watu wanapiga makofi mswahili akiongea kiingereza kibovu eti waswahili wanamzomea.Kuna waswahili nadhani wana mapepo hasa wanaozomea mswahili akiongea kiingereza kibovu.