Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,706
- 3,212
Habari ya Jumapili mabibi na mabwana, niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habari!
Kwanza nashukuru Mungu kwa uhai kwangu kwako pia mpaka unasoma ujumbe huu naamini upo vzr, pia niwape pole kwa wenye changamoto za kiafya.
Mimi Ni raia wa kawaida kabisa, ukweli wagombea wote Wana sababu ya kuchaguliwa na kutokuchaguliwa lakini kutokana na sera zao maamuzi yako binafsi Ni muhimu zaidi.
Sijaona sababu ya tume kulaumiwa kabla na baada ya uchaguzi kwani hawa jamaa wemeweka mfumo ulio wazi na haki.
Kwanza kabisa mawakala wa vyama vyote wapo ambao wanawakilisha kuona namna ya upigaji kura unavyoenda, idadi ya kura zitakazobandikwa, zilizotumwa Kama zinaendana na hesabu aliyoipata mgombea kwa kila kituo halafu mwisho jumla ya kura zote kijimbo mpaka kitaifa.
Kwa sababu hiyo sioni watu KULINDA kura baada ya kupiga, KUGOMEA matokea.
Tusione tunaonewa kiasi hicho, Mara kwa mara nimesikia baadhi ya wagombea wakihamasisha kulinda kura na kugomea matokea.
No.! No! Tubadilike waungwa na tutoe elimu kwa wasiofahamu mtaani kwetu, hakuna sababu ya kupigana mabomu, risasi na uharibifu wa aina yoyote ile.
Big up tume ya uchaguzi Tz kwa kuwa huru na haki!
Mungu ibariki Tz!
Kwanza nashukuru Mungu kwa uhai kwangu kwako pia mpaka unasoma ujumbe huu naamini upo vzr, pia niwape pole kwa wenye changamoto za kiafya.
Mimi Ni raia wa kawaida kabisa, ukweli wagombea wote Wana sababu ya kuchaguliwa na kutokuchaguliwa lakini kutokana na sera zao maamuzi yako binafsi Ni muhimu zaidi.
Sijaona sababu ya tume kulaumiwa kabla na baada ya uchaguzi kwani hawa jamaa wemeweka mfumo ulio wazi na haki.
Kwanza kabisa mawakala wa vyama vyote wapo ambao wanawakilisha kuona namna ya upigaji kura unavyoenda, idadi ya kura zitakazobandikwa, zilizotumwa Kama zinaendana na hesabu aliyoipata mgombea kwa kila kituo halafu mwisho jumla ya kura zote kijimbo mpaka kitaifa.
Kwa sababu hiyo sioni watu KULINDA kura baada ya kupiga, KUGOMEA matokea.
Tusione tunaonewa kiasi hicho, Mara kwa mara nimesikia baadhi ya wagombea wakihamasisha kulinda kura na kugomea matokea.
No.! No! Tubadilike waungwa na tutoe elimu kwa wasiofahamu mtaani kwetu, hakuna sababu ya kupigana mabomu, risasi na uharibifu wa aina yoyote ile.
Big up tume ya uchaguzi Tz kwa kuwa huru na haki!
Mungu ibariki Tz!