Hongereni sana ITV kwa kurusha documentary hii kipindi hiki

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,324
152,136
Muda huu ITV wanarusha documentary inayoonyesha nama vitendo vya kibaguzi vilivyokuwa vinafanywa na Makaburu huko Afrika ya kusini enzi zile za ubaguzi wa rangi pamoja na struggle ya watu weusi katika kupinga ubaguzi huo.

ITV kutuletea documentary hii kipindi hiki, mmethibitisha kuwa nyinyi kweli ni "Super Brand" na mnajua wajibu wenu kwa umma.

Naomba nisiseme mengi maana uhuru wa maoni siku hizi unatafsiriwa vibaya.

ITV nawashauri muirudie hii documentary mara kwa mara kadri iwezekanavyo.

Ahsanteni sana.
 
Muda huu ITV wanarusha documentary inayoonyesha nama vitendo vya kibaguzi vilivyokuwa vinafanywa na Makaburu huko Afrika ya kusini enzi zile za ubaguzi wa rangi pamoja na struggle ya watu weusi katika kupinga ubaguzi huo.

ITV kutuletea documentary hii kipindi hiki, mmethibitisha kuwa nyinyi kweli ni "Super Brand" na mnajua wajibu wenu kwa umma.

Naomba nisiseme mengi maana uhuru wa maoni siku hizi unatafsiriwa vibaya.

ITV nawashauri muirudie hii documentary mara kwa mara kadri iwezekanavyo.

Ahsanteni sana.
Tuma picha tafadhari
 
ImageUploadedByJamiiForums1453748454.336819.jpg

Hata hawa ni makaburu tuu, tofauti yao ni kuwa ni makaburu weusi. Ujumbe huo uwafikie na hawa watu.
 
Hata huku shamba naipata sawasawa kabisa, nadhani ujumbe utakuwa umewafikia makuburu wa Lumumba, hongera ITV
 
Muda huu ITV wanarusha documentary inayoonyesha nama vitendo vya kibaguzi vilivyokuwa vinafanywa na Makaburu huko Afrika ya kusini enzi zile za ubaguzi wa rangi pamoja na struggle ya watu weusi katika kupinga ubaguzi huo.

ITV kutuletea documentary hii kipindi hiki, mmethibitisha kuwa nyinyi kweli ni "Super Brand" na mnajua wajibu wenu kwa umma.

Naomba nisiseme mengi maana uhuru wa maoni siku hizi unatafsiriwa vibaya.

ITV nawashauri muirudie hii documentary mara kwa mara kadri iwezekanavyo.

Ahsanteni sana.

Nimelazimika kuweka pembeni BBC ya Kikeke na kuangalia "political assassination" ya South Africa
 
Naona wengi mmeifurahia, kwa tusio na luninga basi tutasubiri kama ikiwekwa au ipo youtube mtuambie tuangalie.
 
Back
Top Bottom