Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,062
Wasalaam...
Leo kwa mara ya kwanza tangu ITV wameweka pembeni maslai binafsi na migogoro binafsi na wametujuza tena kwa urefu habari inayo wahusu wana Dar na mkuu wao wa mkoa bwana Paul Makonda..habari hii ilikuwa ina husu kampeni ya upimaji wa afya bure iliyo asisiwa na Mh Makonda inayo endelea viwanja vya mnazi mmoja.
Ni kipindi kirefu sana ITV walikuwa hawarushi habari za Mh Makonda na Mh January Makamba bila kuweka sababu za kufanya hivyo lakini leo pia wametu suprise kwa kurusha habari yake..kwakweli na wapongeza ITV kwa kuweka maslai ya taifa mbele....hongereni sana..
Wasalaam...
Leo kwa mara ya kwanza tangu ITV wameweka pembeni maslai binafsi na migogoro binafsi na wametujuza tena kwa urefu habari inayo wahusu wana Dar na mkuu wao wa mkoa bwana Paul Makonda..habari hii ilikuwa ina husu kampeni ya upimaji wa afya bure iliyo asisiwa na Mh Makonda inayo endelea viwanja vya mnazi mmoja.
Ni kipindi kirefu sana ITV walikuwa hawarushi habari za Mh Makonda na Mh January Makamba bila kuweka sababu za kufanya hivyo lakini leo pia wametu suprise kwa kurusha habari yake..kwakweli na wapongeza ITV kwa kuweka maslai ya taifa mbele....hongereni sana..
Wasalaam...