Kongole sana kwenu kwa kurudisha na kusimamia ipasavyo safari za ndege hasa humu nchini. Ama kweli kazi yenu inaonekana.
Pamoja na hayo, au kabla ya kufikiria kuanzisha route zingine za kutokea Dar, ni vyema sasa mkaunganisha mikoa mbalimbali na kuwe na direct flights kama vile MWANZA-DODOMA, MWANZA-MBEYA, KILIMANJARO-DODOMA, DODOMA-MBEYA, MWANZA-IRINGA, KIGOMA-BUKOBA N.K., Route zote hizi na zingine kama hizo zinamlazimu mteja kukata tiketi mara mbili, kwenda Dar kwanza halafu kuelekea mkoa mwingine.
Pamoja na hayo, au kabla ya kufikiria kuanzisha route zingine za kutokea Dar, ni vyema sasa mkaunganisha mikoa mbalimbali na kuwe na direct flights kama vile MWANZA-DODOMA, MWANZA-MBEYA, KILIMANJARO-DODOMA, DODOMA-MBEYA, MWANZA-IRINGA, KIGOMA-BUKOBA N.K., Route zote hizi na zingine kama hizo zinamlazimu mteja kukata tiketi mara mbili, kwenda Dar kwanza halafu kuelekea mkoa mwingine.