Hongera Zitto Zuberi Kabwe

Hongera Zitto Zuberi Kabwe

yalimoz

Senior Member
Joined
Jul 22, 2015
Posts
179
Reaction score
6
Umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. Umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. Ndio maana wahenga walisema kuwa MUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. Hongera.
 
mbona alipokuwa chadema hapo kigoma kaskazini alishindwa kuchukua hivyo viti
 
cdm hahahahaaaaa mmeaibika sana ayaaaaa
 
Mbona hamumpi hongera Livingstone lusinde???
 
mbona alipokuwa chadema hapo kigoma kaskazini alishindwa kuchukua hivyo viti

murifikilia nyie ni mungu? eti mka mfukuza ubunge. sasa karudi kwa jeuri msipambane na mungu chagadema
 
Hongera Zitto kwa jitihada zako za kufifisha upinzani. Poleni sana Machali na Mkosamali.
 
zitto ni sawa na wabunge 34 wa chadema. mpumbavu na lofa ndo atabisha. maana malofa chagadema kwa ubishi.
 
Aliweka wagombea nchi nzima....

Kina kala Pina

Machemli alipata kura 1810
 
Aliweka wagombea nchi nzima....

Kina kala Pina

Machemli alipata kura 1810

Nikweli mkuu pia wametangaza chama nchi nzima?.

Hawakufanikiwa kujiunga ukawa lakin wana mbunge 1 na madiwani zaidi ya 30.

Uchaguzi huu ACT imefanikiwa kimkakati na kimatokeo kuliko NCCR iliyokuwa ndani ya Ukawa.
 
Wagombea 190+ Nchi nzima kaambulia yeye tu kwasabu sio mpinzani kapata back-up ya NEC ndio maana kajitangaza kashinda saa 11 Jioni,hakukuwa na mizengwe Kama kwa kina Hasanali,mbagala,wenje,kawe hamjiulizi? Zitto sio mpinzani.
 
Nikweli mkuu pia wametangaza chama nchi nzima?.

Hawakufanikiwa kujiunga ukawa lakin wana mbunge 1 na madiwani zaidi ya 30.

Uchaguzi huu ACT imefanikiwa kimkakati na kimatokeo kuliko NCCR iliyokuwa ndani ya Ukawa.

wamefanikiwa sana. ubaya vijana wa chadema viroba vimeshawamaliza. hata hizi takwimu hawana, kazi ushabiki wa kijinga. hongera act wazalendo
 
Wagombea 190+ Nchi nzima kaambulia yeye tu kwasabu sio mpinzani kapata back-up ya NEC ndio maana kajitangaza kashinda saa 11 Jioni,hakukuwa na mizengwe Kama kwa kina Hasanali,mbagala,wenje,kawe hamjiulizi? Zitto sio mpinzani.

Pia tambua amewazid wagombea wengine zaidi ya kura elfu kumi na nne.

Matokeo yake hayakuwa na utata mana hayachakachuliki.
 
unpredictable and antamable Karumanziwese, probable too proximity and influenced by Predecee , Primus & Himagamerics.All in all Peace comes first and shall prevail.
 
Pia tambua amewazid wagombea wengine zaidi ya kura elfu kumi na nne.

Matokeo yake hayakuwa na utata mana hayachakachuliki.

Mbona magufuli kapata 25% lakini NEC wamempa 58%,kuzidiwa kura ni uratibu tu wa NEC wakiamua uzidi hata kwa elfu 50 inawezekana au haujaona mbagala cuf wamezidiwa kura karibu elfu 70.
 
Back
Top Bottom