Hatimaye baada ya subira ya mda mrefu mambo yako wazi. Ze dude umekuwa wa muhimu sana kwa kutupa info za awali na kuahidi kutupa zilofuatia. Hauna ubinafsi nakupenda kwa hilo, ulitoa tokeo la DSM japo mwenyewe hukupangwa huko. Pamoja na kuwa kila kitu kiko wazi endelea kudumu kwenye jukwaa la elimu siku zote kwani mchango wako haupimiki. Na kwa sisi sote tuendelea kuwamo humu ndani tukishaurina jinsi ya kusukuma life la chuo. Tuwashauri pia watakaomaliza 6 miaka ijayo juu ya uchaguzi wa faculty n.k. LONG LIVE JF. Mungu mbariki Dude, Mungu ibariki Tanzania.