East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Nawapongeza sana wizara ya elimu kusitisha kutoa mafunzo ya certificate ya ualimu kwenye vyuo vyake kuanzia mwakani.Hii ina maana kuwa watakuwa wakitoa mafunzo ya kuanzia Diploma ya ualimu.Hivyo kuondoa uwezekano wa wale waliofeli kidato cha nne kujiunga na ualimu kwa kuwa mtu ili ajiunge na diploma inabidi awe kafaulu vizuri kidato cha nne.Hivyo ina maana kuwa kiwango cha chini cha elimu cha mwalimu wa msingi itakuwa ni diploma na sio certificate.Itasaidia kupandisha kiwango cha ufundishaji.
Pia ni tahadhari kwa walimu wenye certificate kuwa wajisomee wawe na diploma maana muda si mrefu watajikuta tu-certificate twao twa ualimu hatuna mbele wala nyuma.
Pia ni tahadhari kwa walimu wenye certificate kuwa wajisomee wawe na diploma maana muda si mrefu watajikuta tu-certificate twao twa ualimu hatuna mbele wala nyuma.