Hongera TTCL

Hongera TTCL

poor poor poor kwanza ni waongo sana, eti kila mahali ni 4G nimeenda wilaya fulani hata 2G ni shida kubwa sana, mara iandike Tigo
 
Zaman ilikuwa nikiwa nasafiri nikifika mbezi mwisho natoa laini ya TTCL naweka ya hallotel au Tigo coz najua hapo ndio mwisho wa ttcl

But kwa Mara ya Kwanza Leo nimetoka zanzibar mpaka kigoma nikiwa na lain yangu ya ttcl, napata internet na napiga simu fresh kabisa sehemu Zote ambazo nimepita, sehem ambayo kidogo network ilisumbua ni mlima senkenke ila sehemu zingine Zote mpaka nimefika kigoma network iko poa kabisa

Hongereni Sana

garama zikoje ?
 
Zaman ilikuwa nikiwa nasafiri nikifika mbezi mwisho natoa laini ya TTCL naweka ya hallotel au Tigo coz najua hapo ndio mwisho wa ttcl

But kwa Mara ya Kwanza Leo nimetoka zanzibar mpaka kigoma nikiwa na lain yangu ya ttcl, napata internet na napiga simu fresh kabisa sehemu Zote ambazo nimepita, sehem ambayo kidogo network ilisumbua ni mlima senkenke ila sehemu zingine Zote mpaka nimefika kigoma network iko poa kabisa

Hongereni Sana
Samahani mkuu,kwani huduma hiyo ya mawasiliano na Internet si ulilipia??
Mbona umefurahi kanakwamba ulipewa ofa,au kanakwamba ni jambo jipya sana hapa duniani???!!!
 
Samahani mkuu,kwani huduma hiyo ya mawasiliano na Internet si ulilipia??
Mbona umefurahi kanakwamba ulipewa ofa,au kanakwamba ni jambo jipya sana hapa duniani???!!!

Sio kila unacholipia kinakuja na ubora kama unaoutarajia, sasa ukipata ubora kidogo lazima ufurahie, ni kama ww unalipa kodi ila usishangae kijijini kwenu hata barabara ya lami hakuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom