Hongera TTCL

Hongera TTCL

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,237
Reaction score
8,530
Zaman ilikuwa nikiwa nasafiri nikifika mbezi mwisho natoa laini ya TTCL naweka ya hallotel au Tigo coz najua hapo ndio mwisho wa ttcl

But kwa Mara ya Kwanza Leo nimetoka zanzibar mpaka kigoma nikiwa na lain yangu ya ttcl, napata internet na napiga simu fresh kabisa sehemu Zote ambazo nimepita, sehem ambayo kidogo network ilisumbua ni mlima senkenke ila sehemu zingine Zote mpaka nimefika kigoma network iko poa kabisa

Hongereni Sana
 
Zaman ilikuwa nikiwa nasafiri nikifika mbezi mwisho natoa laini ya TTCL naweka ya hallotel au Tigo coz najua hapo ndio mwisho wa ttcl

But kwa Mara ya Kwanza Leo nimetoka zanzibar mpaka kigoma nikiwa na lain yangu ya ttcl, napata internet na napiga simu fresh kabisa sehemu Zote ambazo nimepita, sehem ambayo kidogo network ilisumbua ni mlima senkenke ila sehemu zingine Zote mpaka nimefika kigoma network iko poa kabisa

Hongereni Sana
Kwasasa wapo vizuri sana hadi wilayani wamefika mkuu, Mimi pia ni mteja wao(ttcl).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera Sana kwa kutoka zanzibar hadi Kigoma kwa TTCL bila kukata isipokuwa SEKENKE tu,inawezekana ulikuwa unafanya roaming bila kujua maana CEO wake KINDAMBA ni mbunifu.
 
Kana kwamba hizo kampuni nyengine haziajili watanzania,sijui shangwe ya nini wakati wanatekeleza majukum yao.
 
Hata kama nilikuwa nafanya roaming hakuna shida as long as napata huduma za ttcl
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom