Hongereni watu wa Songea kwa kupata umeme wa uhakika kwa miezi minne mfululizo. Tahadhari ni kuwa, hayo majenereta yanatumia mafuta na yanatoka mbali, Dsm. Sitaona ajabu ukirudi tena humu jamvini ukitueleza kuwa umeme haupatikani mfululizo kwa ukosefu wa mafuta!