Hongera Sanctus Mtsimbe: apanda ngazi katika kazi mpya! Bosi nchi 11


Asante sana Job K.

Nasaha zako nitazizingatia Mkuu.
 

Duh! JF is Amazing . . . . Nitunzie, nitahudumia tu . . . LOL (Joke)

Brazil nauli shida tena. Msalimie Dos Santos . . .

Asante sana kwa pongezi.
 

Kaka Sikonge asante na nashukuru sana kwa kumbukumbu zako hai.

Bila ya shaka nakumbuka nawe ulikuwa kati ya wachangiaji wakuu na nina uhakika Mungu anaendelea kukubariki sawa sawa na ahadi zake.

Asante sana kwa pongezi zako na yote uliyoongea.

Ubarikiwe sana Mkuu.
 

Asante sana kwa kunikumbusha habari za Kibaha High School . . . . . Ila umesahau kuwa tulifukuzwa shule kwa ule mgomo? Good luck kuvunjika kwa korea sio mwisho wa uhunzi. Tuwasiliane kwa PM . . . .

Asante sana kwa pongezi.
 
Big up,ex- Kibo Sec school,Moshi tena pale stend ya basi hii inaonesha shule siyo lazima ya hadhi kubwa au pesa nyingi juhudi yako tu,kwani hata form vi nadhani ilikataa.

Asante sana HS na pia kunikumbusha habari za Kibo Sec.

Ila weka kumbukumbu vema, form IV ilikubali vema kwa daraja la juu kabisa. Refer vema kumbukumbu. Pia tuwasiliane kwa PM.

Asante sana kwa pongezi zako.
 
Congratulations On Your New Job
I want to say my heartfelt "Congratulations"
How glad I am for you, God has answered every prayer for all you seek to do.
~*Congratulations*~
May God bless and keep you in all ways
always..................................
 

Mkuu GJ;

Asante sana kwa nasaha zako. Nitazifanyia kazi.

Asante sana kwa pongezi.
 

Asante sana Mkuu Pasco. Tuko pamoja sana na changamoto zote ulizozielezea ni za kweli na naamini wa TZ wengi wanao uwezo mkubwa tu.
 

Ufudu; nakushukuru sana na pia kwa yote uliyoyaandika. Ni mema tu. Stay blessed.
 

Haaaa haaaa Nyantella umenikumbusha mbali sana. Kuna siku afande Lucas alinipigia kelele kuwa "Atanitemea mate yake yenye sumu ya nyoka nikatibiwe Afrika kusini" kisha akamalizia "sijui utaendaje wakati mipaka yote imefungwa" enzi hizo bado mapambano na makaburu yalikuwa yanaendelea.

Asante sana Mkuu. Tutafutane kwa PM.
 

Hello FL1, thank you for your nice words.

God bless you too Mama wa Kwanza - 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…