Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Nakumbuka nilileta uzi hapa mtandaoni nikihoji juu ya ukimya wako katika sakata hili la madawa ya kulevya na kwakweli nilikuwa sikuelewi kabisa maana wewe ndie waziri mwenye dhamana na swala hilo lakini ulikuwa kimya kabisa kama vile haupo.
Hata hivyo, muda umenijibu mimi pamoja na wengine wengi tu tuliokuwa tunahoji juu ya ukimya wako.Kwakweli nakupongeza sana.
Lazima nikiri kuwa japo mimi sio shabiki wa CCM lakini kwa hili sina budi kukupongeza maana uliona mbali and you are now safe.
Endelea hivyo hivyo na tunaweza kukusamehe hata kwa yale ya nyuma ambayo wengine hayakutupendeza. Sina haja ya kuyaeleza hapa.
Hongera sana mheshimiwa.
Hata hivyo, muda umenijibu mimi pamoja na wengine wengi tu tuliokuwa tunahoji juu ya ukimya wako.Kwakweli nakupongeza sana.
Lazima nikiri kuwa japo mimi sio shabiki wa CCM lakini kwa hili sina budi kukupongeza maana uliona mbali and you are now safe.
Endelea hivyo hivyo na tunaweza kukusamehe hata kwa yale ya nyuma ambayo wengine hayakutupendeza. Sina haja ya kuyaeleza hapa.
Hongera sana mheshimiwa.